Vaa koti la Rais Zelenskyy halafu niambie ungechukua hatua gani kati ya hizi?

Vaa koti la Rais Zelenskyy halafu niambie ungechukua hatua gani kati ya hizi?

Poa 2

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2019
Posts
1,317
Reaction score
1,320
Habarini wadau.
Wengi tunafahamu vita ya urusi na Ukraine isingedumu hata wiki Moja kama marekani na NATO wasingekuwa nyuma ya zelensky.
Lakini tumeshuhudia mazungumzo kati ya Trump na zelensky ya kutaka kusaini mkataba wa madini Ili kumaliza vita yalivyomzalilisha zelensky.
Ukiwa kama mfuatiliaji wa vita hii mpaka Sasa.
Je? Wewe ungekuwa ni mchekeshaji zele boy ungechukua hatua gani kati ya hizi?

Moja, kusaini mkataba wa madini na marekani Ili kumaliza vita.

Mbili, kiendelea kupigana na urusi mpakatone la mwisho.

Tatu, kumpigia magoti mwamba Putin Ili mambo yaishe.

Mimi ningekuwa zelensky nisinge kubaliana na marekani na NATO Tena Kwa chochote, Bali ningekimbilia urusi na kuomba hifadhi huko Ili kuwakomesha wanafiki wasipate chochote.
Wewe ungefanya Nini?
 
Habarini wadau.
Wengi tunafahamu vita ya urusi na Ukraine isingedumu hata wiki Moja kama marekani na NATO wasingekuwa nyuma ya zelensky.
Lakini tumeshuhudia mazungumzo kati ya Trump na zelensky ya kutaka kusaini mkataba wa madini Ili kumaliza vita yalivyomzalilisha zelensky.
Ukiwa kama mfuatiliaji wa vita hii mpaka Sasa.
Je? Wewe ungekuwa ni mchekeshaji zele boy ungechukua hatua gani kati ya hizi?

Moja, kusaini mkataba wa madini na marekani Ili kumaliza vita.

Mbili, kiendelea kupigana na urusi mpakatone la mwisho.

Tatu, kumpigia magoti mwamba Putin Ili mambo yaishe.

Mimi ningekuwa zelensky nisinge kubaliana na marekani na NATO Tena Kwa chochote, Bali ningekimbilia urusi na kuomba hifadhi huko Ili kuwakomesha wanafiki wasipate chochote.
Wewe ungefanya Nini?
Jamani eeh mwaka huu nchini kuna njaa mvua hamna. Lakini akili zenu mmeziweka kwenye mambo ya kijinga×2 na utopolo.

Tuacheni hizi porojo zembe za kindezi za makoti ya kina Zelensky wanazovaa.

FANYENI KAZI NYIE LA SIVYO NJAA ITATUUA.

KAMMON SHAMBANI.

N de A
 
Jamani eeh mwaka huu nchini kuna njaa mvua hamna. Lakini akili zenu mmeziweka kwenye mambo ya kijinga×2 na utopolo.

Tuacheni hizi porojo zembe za kindezi za makoti ya kina Zelensky wanazovaa.

FANYENI KAZI NYIE LA SIVYO NJAA ITATUUA.

KAMMON SHAMBANI.

N de A
Mkuu sasa mvua tutaipata wapi?? Maana hali ni mbaya mnoo jotoo ni kali sana
 
No retreat no surrender
1000026815.jpg
 
Jamani eeh mwaka huu nchini kuna njaa mvua hamna. Lakini akili zenu mmeziweka kwenye mambo ya kijinga×2 na utopolo.

Tuacheni hizi porojo zembe za kindezi za makoti ya kina Zelensky wanazovaa.

FANYENI KAZI NYIE LA SIVYO NJAA ITATUUA.

KAMMON SHAMBANI.

N de A
Nitoeni ushamba kichwani mwangu hiyo ''N de A'' ni nini?

Nakutana nayo sana humu sielewi maana yake
 
Back
Top Bottom