Mama weee. Mkiniambia hivi nadata.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Changamka mama, ukimpata utakuwa umebahatika sana. Bonge la bwana.
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajikatisha tamaa mwenyewe!! Subiri atakuwa hana bando[emoji85][emoji85][emoji85]
Kumbe mtamu eeeh?? Piemu kwenyewe mbona hajibu? Atakua keshapata huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama weee. Mkiniambia hivi nadata.
Weèeee Mentor njoo basi ujibu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa!! Atakuwa anaona aibu.Mama weee. Mkiniambia hivi nadata.
Weèeee Mentor njoo basi ujibu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiburi kumbe eeh. Labda hanitaki ndo maana hajibuMtamumtamu eee halafu yuko online anafanya kusudi kutokujibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hatimaye nimepata babe wangu JF na mimi. Baby MentorSina mbavu kwa kucheka hapa, komaa hasa nkisema bonge la bwana ni bonge la bwana haswa, shauri yako bahati hazijagi mara 2 ooo
Cc Evelyn Salt[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hatimaye nimepata babe wangu JF na mimi. Baby Mentor
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ni wake mwenza?Cc Evelyn Salt
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenza unanichonganisha eeeh ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
We subiri hapo hapo.
Dada tafadhali sana sana, chukua wote hadi sponsors not my sweet mangii Mentor
Sweet Mangii ndo mzuri dada. Vizuri kula ma wenzioDada tafadhali sana sana, chukua wote hadi sponsors not my sweet mangii Mentor
Dada tafadhali sana sijamtoa kariakoo huyo nmemfata migombanai kabisa muache kama alivo
Sawa acha Nile kwa macho tuu [emoji21][emoji21][emoji21]Dada tafadhali sana sijamtoa kariakoo huyo nmemfata migombanai kabisa muache kama alivo
Mke nipo kitambo sana labda uulize mchepukoMkuu Mentor ushapata mke?
Sio yeye wamemuedit namjua Mentor nje ndani, sio yeye ni wenye wivu haoEvelyn Salt umemfanyia nini kaka yetu hadi anabandika tena tangazo???[emoji17] [emoji17] [emoji17]
Mkuu nakutakia kila la kheri.
Ni poa sana wakongwe msipotumia Id mpya kwa ishu kama hizi.
Ila umeona ukiandika vacancy ndiyo watamiminika eeh?[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Na hizi ajira zilivyositishwa nahisi hujakosea...
Ni wivu tu!Sio yeye wamemuedit namjua Mentor nje ndani, sio yeye ni wenye wivu hao