Valentina Mke wangu! Nimekumiss sana

Naomba nikuoe kabisa niturie na mimi nimechoke kuvua kunguo kwa kila msichana mwisho nitakuwa nimependeza na suit wao wananiona kama Niko uchi, plz sitakuumiza.

Kwa hiyo kila msichana wewe unamvulia nguo jamani khaaa!!!
 
Valentina acha mchepukooooooo

cc uran. Tema mate tumchape.:love::love:

atakamuona baba paroko Eiyer please amuambie nimemumithiiii.
 
Last edited by a moderator:
such a nice words.
its coming from my heart.
i love you deeply.
sauti yako na mwili wako burudiko langu mpenzi wangu.

Tangu niwe nawe nifuraha,ukiondoka hata saa ni karaha bila wewe siwezi ishi my swt potato
 
mzuri aisee,naomba uniajiri kazi za u-houseboy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…