Valentina Mke wangu! Nimekumiss sana

Valentina Mke wangu! Nimekumiss sana

Valentina my swt, ur hubby karudi huku.
Anaomba uache michepuko, yeye anakupenda sana. Baki njia kuu.
 
Ni nature ya nwanaume kucheat but wanawake huwa wanaplan kucheat pale tu mume wake anapokuwa na vidum Valentina najua unamlipizia mumeo alichokufanyia please rudi nyumbani ndoa haidumu kwa kulipiziana
 
Last edited by a moderator:
Ni nature ya nwanaume kucheat but wanawake huwa wanaplan kucheat pale tu mume wake anapokuwa na vidum Valentina najua unamlipizia mumeo alichokufanyia please rudi nyumbani ndoa haidumu kwa kulipiziana

nice words from you. thank you.
and FYI i never chitd to my wife 'Valentina' even a single day.
 
Last edited by a moderator:
Wewe Mtoto hujambo? Nimesharudi Niko mujini, unanirudisha tena ktk chupa au?

Sijambo mzima wa afya, namshukuru Mungu.
Mimi sitaki mshumaa wala jenereta niko powa na mume wangu Sungura1980, nampenda sana. Endelea tu kutafuta wako, si unaona Daudi1 katulia na wifi yangu.
 
my wife 'Valentina'

mh1e9c.jpg

I miss you when something really good happens, because you're the one I want to share it with.
I miss you when something is troubling me, because you're the only one who understands me so well.
I miss you when I laugh and cry, because I know that you're the one who makes my laughter grow and my tears disappear.
I miss you all the time, but I miss you the most when I lie awake at night and think of all the wonderful times we spent with each other for those were some of the best memorable times of my life.

You have to know that Uran loves you so much.
Usinichanganye na wanaume wengine, kama sipo nakuomba univumilie,
siku zote.
Naamini wale kina Rich Pol na Daudi1 waliokuwa wanakusumbua ushaachana nao.
Warembo wa Jf, Lady doctor shansarie Bantu lady miss neddy miss chagga charty Heaven on Earth Munkari farkhina Ablessed Karucee Arabela DEMBA na wengine.
Nisaidieni kumwambia 'Valentina' kuwa nampenda sana.
Aache michepuko.
:happy::happy: :mwaaah::mwaaah::mwaaah:

OMG: Hw lucky i'm!! I don no hw to explain my hapines hia. Bt i wana u tu no tht i wll always lv u,an i born to make u happy my sweetheart uran
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha sasa wewe unataka mwenzio akose amani shauri yako mi simo wengine hawachelewagi kujitundika ivooo . Valentina unamisiwa huku na uran tafadhari njoo . Mkuu uran uwe na amani tu na ujiamini na uamini kuwa hapatakua na michepuko.

Nimeshaacha mchepuko na kubaki njia kuu mwenzangu!!
 
Last edited by a moderator:
Sijambo mzima wa afya, namshukuru Mungu.
Mimi sitaki mshumaa wala jenereta niko powa na mume wangu Sungura1980, nampenda sana. Endelea tu kutafuta wako, si unaona Daudi1 katulia na wifi yangu.

Naelewa lakini remember back the time! Huwezi nitupa vile
 
Back
Top Bottom