Valentina Mke wangu! Nimekumiss sana

Dada yangu (khoh! Khooh! Khooh!) ungekuwa hujaolewa ningekuoa mwenyewe maana wadada wa Humu wanaringa sana.

Pole umechelewa shamba limepata mkulima. Endlea kutafuta utampata u'r angel
 
dah! unataka kuniharibia kwa mke wangu

Sikuharibii mkuu naongelea yule dada staff wa pale park aliekuwa anakuganda umtafutie kazi mjini amechoka kukaa porini.
 
Sikuharibii mkuu naongelea yule dada staff wa pale park aliekuwa anakuganda umtafutie kazi mjini amechoka kukaa porini.

nimekuja nae town
 
Ina maana mm cna hata wa kum mis huku!!dah!watu wanamisiana tu!loya cjui yupo kona gani!
 
uran mylv wereva u r frm ths moment i gve my life to u,fo betha an fo wose i wll lv u.....mwaaaaaaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Maaaaamaaaaaaaa weeeeee!still a lier,stil a lier,sugar dady lier,stil a lier!dunia ina. mamboooo!ni ww au nakufananisha!!!????

hivi unaikumbuka ile video ya papa u say where bozoo is come from?
............whether ur a lier or u dont know
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…