Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko hapa nalisubiri😊🤗🤨Ntakupa hivyo hivyo 😎
Sasa km anayo mpya hapo vipi bff?Simu mpya
Nakuona bwana manara 😂Atakaye kosa zawadi toka kwa boyfriend/mume/ au jamaa yake anione...nimpatie zawadi
Sawa subira ni muhimu LamamaNiko hapa nalisubiri😊🤗🤨
Ananunua toleo la juu kama Ana 15 ananunuliwa basi hata pro maxi au laptop mpya bffSasa km anayo mpya hapo vipi bff?
Nipe colour of the year niandae mapamboMawifi tuandae baby shower wifi 🤰
Ila kwa mimi hapa maua sitakiSasa km anayo mpya hapo vipi bff?
No 1 na 2 nilimfanyia x wangu he was amazing 😍1.TAiri za gari
2. pimp gari yake ndani (seatCovers nk)
3. Simu currently (s24 au. Iphone 14)
4. Kiwanja
5. Tofali
7. Gari
8. Kodi ya mwaka fanya transfer kwa account zake asipolipa akaiila shauri zake
9.Mtaji wa biashara
Chagua hapo
SawasawaSawa subira ni muhimu Lamama
Lavender bff fanya mambo 😅Nipe colour of the year niandae mapambo
Na ww unampa zawadi gani? 🤪Ananunua toleo la juu kama Ana 15 ananunuliwa basi hata pro maxi au laptop mpya bff
Nifanyie na mimi, am amazing in every way.No 1 na 2 nilimfanyia x wangu he was amazing [emoji7]
Weee umenifanyia nini babaaa😅Nifanyie na mimi, am amazing in every way.
Nampa seat cover au manfull grooming kit, seatcover, matairi ya gari, perfume kali, n.kNa ww unampa zawadi gani? 🤪
🤣🤣🤣🤣 Kumbe shoga una hela!! Makorokoro yote hayoNampa seat cover au manfull grooming kit, seatcover, matairi ya gari, perfume kali, n.k
Ila asiwe mkono mfupi