Valentine...Kazi ni kwako

hii jf ya leo ni kasheshe, inarudia msg bhana au ndo kuonesha msisitizo? imenifanyia mimi hivi leo
Network problems I think.. Hata mi nimeshangaa
 
The Bold au yule mwenyewe kabsa ambae ni anonymous humu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
the bold ni wa nifah wewe .. me wangu hayupo huku sababu nataka wa huku niwachune haha ha hata nikiwagonganisha sina cha kupoteza
 
sio picha zangu picha ya hvyo vitu ulivyoviweka hapo... Kwa Injury ya january ilvyo hii valentine ingekaa mwez wa nne hvi
Aaaaaaaaa Bonny acha hizo! kwani unasomesha???? Au ulimaliza pesa zote mpaka ukakopa ile desemba msimu wa sikukuu??
 
Aaaaaaaaa Bonny acha hizo! kwani unasomesha???? Au ulimaliza pesa zote mpaka ukakopa ile desemba msimu wa sikukuu??
ha ha ha ha tatzo hela ya january inaishiaa december halafu ubaya wake unapewa mapemaa tar 20 ukifika january umenyooka
 
wewe kizri kula na nduguyo alaaaaaaaaaa wacha kumchunga shem wako kiwango hiki si kila siku ale mchicha tu sometimes ale na bata if you know what i mean
hahahahhahahaha mie yangu chabo tu, ila pia nataka aje huku ajibu hizi maswali
Daby wapi wewe leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…