Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naachaje ila nimekuombea upate mapacha.Umeniombea?
Niwashe nini?Washa na wewe 😅
umpendae.Kutoka kwa nani sasa
🤣🤣🤣 uko sawa lakini madam au tayari ushajitwisha maji ndefu?Muziki
Exactlyfull jando hiki ndio kikao cha mwisho tunachosemaga
Hapo ajenda zilikuwa nyingi sana all in all tumemaliza salamaHapo ni nini?
akiba haiozi nimefanya kwa faida ya baadae.SIJAPENDA BADO
Imeenda vizuri sababu kuna mtu kasimamia show!!!Hakika imeenda vizuri sana na nimefurahia 😊.
Kwako imeendaje hii siku?
Sitaki stress Hahahaahhaha, naogopa kuletewa invoice kubwaMbona mwenyewe?
🤣🤣🤣🤣 nilihisi tu maana naona huu usiku una vaibu kumzidi hadi makutuporaTayari tayari 😅😅