Valentine special offer from Miss curious to real gentlemen.

Valentine special offer from Miss curious to real gentlemen.

hahaaa for 1 night stand hapana aiseee
hapo napata ile midoli miwili ..nakuhonga kunakuwa ndio baba Jeni byeee byeeee
Hahaaa. Umewaza mbali sana aiseeee.

Ila midoli ina karaha yake pia Mkuu.
 
mkuu humu kuna kina mwigulu ..ridh1 nahuwa wanapitia kuzichabo hzi comment so wasemaje kuwa watu wenye mi Pesa kiasi hcho hawapo humu
Hahaaaa. Wapo ila sio rahisi kuweza kukubali kuharibu kiasi kikubwa cha pesa kwa ajili ya Valentine tu.
 
Hahaaaa. Wapo ila sio rahisi kuweza kukubali kuharibu kiasi kikubwa cha pesa kwa ajili ya Valentine tu.
mkuu. wanafnya hayo kama mtu anatikisa billion.40 bank ml.10 nihela ya mboga tu ..sema pia inategemea na mwanamke mwenyew atakuwa ktk uzuri wa namna IPI..

ninarafiki yangu mmoja Hivi wakike anaishi sisi yeye nimchepuko tu alipewaga ml.12 na fangs lake eti limemuagiza akamuwekee zile Pesa kwenye Ac yake ya bank ..demu alikuwaga hajawahi kushika Pesa ndefu kihvyo basi akawa anapagawa kinyama..sasa alikuwa na Mawazo ykukimbia Nazo nikamwambia huyo mwenzioa amekupa hzo pesa ukamuwekee sio lengo kuu nikukupima akili yko tu ..nikamwambia tuliza akili utakuja kupigwa bomba..
 
Hahaaa. Umewaza mbali sana aiseeee.

Ila midoli ina karaha yake pia Mkuu.
hahaa hata hiyo ml.11 na moja nikiitoa for 1 night stand sinitakufa kea pressure tu.
so ninafuu ya kero za midoli kuliko hzo kero nitakazo zipata baada yakuimaliza hyat regence
 
mkuu. wanafnya hayo kama mtu anatikisa billion.40 bank ml.10 nihela ya mboga tu ..sema pia inategemea na mwanamke mwenyew atakuwa ktk uzuri wa namna IPI..

ninarafiki yangu mmoja Hivi wakike anaishi sisi yeye nimchepuko tu alipewaga ml.12 na fangs lake eti limemuagiza akamuwekee zile Pesa kwenye Ac yake ya bank ..demu alikuwaga hajawahi kushika Pesa ndefu kihvyo basi akawa anapagawa kinyama..sasa alikuwa na Mawazo ykukimbia Nazo nikamwambia huyo mwenzioa amekupa hzo pesa ukamuwekee sio lengo kuu nikukupima akili yko tu ..nikamwambia tuliza akili utakuja kupigwa bomba..
Umeonaeee. Huwa wanazitoa ila wanaangalia ni wapi pa kuzitoa.

Ila huyo rafiki yako naye alitaka kujiroga kwa hela ya kupimwa. Hahaaaa. Ila bora ulimpa akili ya kumtoa tamaa alizokuwa nazo.
 
hahaa hata hiyo ml.11 na moja nikiitoa for 1 night stand sinitakufa kea pressure tu.
so ninafuu ya kero za midoli kuliko hzo kero nitakazo zipata baada yakuimaliza hyat regence
Hahaaa. Haya bana Mkuu ila hakuna nafuu wala afadhali hapo.
 
Umeonaeee. Huwa wanazitoa ila wanaangalia ni wapi pa kuzitoa.

Ila huyo rafiki yako naye alitaka kujiroga kwa hela ya kupimwa. Hahaaaa. Ila bora ulimpa akili ya kumtoa tamaa alizokuwa nazo.
yaani weee acha tu ..yangemkuta makuu
 
Hahaaa. Haya bana Mkuu ila hakuna nafuu wala afadhali hapo.
hahaaa haya bhanaa mimi naujua msimamo wako niupi kuhusu sis wapenda midoli ..maana nilionaga comment zako ulitushambulia mnoo.teehee tuvumiliane tu...
ndio nazichnga changa hapa mpka mwezi wa 6 namimi niagize wakwangu ..nataka Mwenye sura kama ya maria obama
 
Wanapita kimya kimya na wale wapovukaji basi ndio hivyo tena wanatoa povu.

Hahaaaa. Nashangaa wale wanaotaja taja Valentine hata hawaji huku.

Davet rafiki njoo huku.
Nimefika rafiki ila acha niyaache kama yalivyo... hahah!!
 
Hahahaaa. Nikajua dau unalo rafiki. [emoji85] [emoji85] .

Sababu nafasi adimu hizi kupatikana. Teh teh teh.
Heheh!! Dau linawezakuepo ila aina ya matumizi ndio ikawa tatizo rafiki [emoji12] [emoji12]
 
Heheh!! Dau linawezakuepo ila aina ya matumizi ndio ikawa tatizo rafiki [emoji12] [emoji12]
Hahaaa. Na kweli rafiki. Hongera kwa kuwaza mbali.

Yaani mzigo wote huo kuuteketeza kwa siku moja ni bora kuutafutia kitu cha kuufanyia na kama matumizi hayo ya siku moja yawe kwa hela kiasi na sio zote hizo.
 
Hahaaa. Na kweli rafiki. Hongera kwa kuwaza mbali.

Yaani mzigo wote huo kuuteketeza kwa siku moja ni bora kuutafutia kitu cha kuufanyia na kama matumizi hayo ya siku moja yawe kwa hela kiasi na sio zote hizo.
Nashukuru kwa kuunga hoja mkono [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom