Hahaaaaa. Teh teh teh.Haha watakuja wana drive
[emoji23][emoji23][emoji23] tusipochukua ubingwa hak ya nani nahama nchi!Sio 1.2 ni 11.2 best. Nipo sana tu.
Hahaaaa. Nawaona wazee wa baiskeli ya miti.
Demiss pia ni mdogo wanguSasa shunie ni mdogo wangu ujue
Nini wewe? Kuna nini hapa?Na saint ivuga Daby Waite wanajifanya kupitiliza huu uzi kama hawauoni
Mmmhhhh...Demiss pia ni mdogo wangu
Naam jirani...Mmmhhhh...
Jiraniiiiiii
Hahaaa tupo best, sema ndo hivo kuspend kiasi chote hicho kwa ajili ya naniliu tu ni ujinga wa karne
Njoo pm mi nalipa zote achana na Hawa wanaofurahisha genge.Shoga huku ni kutaka kupandisha wanaume wa watu presha sio bure.
Sababu umeanza vyema ila hapo kwenye no 3 lazima walio wengi wanyong'onyee. 11.2 isiyo na kazi inatoka wapi saa hizi Shoga angu. Tena kwa matumizi ya siku moja. Mmh.
Sawa bwanaNaam jirani...
Hahahaaa. Mie nipo best na tukijaaliwa tutaonana humu humu ujue.[emoji23][emoji23][emoji23] tusipochukua ubingwa hak ya nani nahama nchi!
Unasema milioni 11 na laki 2??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Vipiiii ndio utafute hiyo hela uende
Sawa jirani, ukiona fursa usiache kuniitaSawa bwana
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji23] [emoji23] [emoji23]
acha kulialia kak angu jipinde bas walau nusu yakeHata mimi nashangaa kabisa Dada yangu, Shunie ananijua mimi mdau wake wa mapupu hapa mitaa ya Tandamti(K/koo) lakini ananisukumizia mzigo huu unaohitaji greda ili niweze kuunyanyua.
Under 18 wanawafaahivi nyie mbona mnapenda wanaume above 35 years of age...!!kwa hiyo sie wenye 26+ tupambane na hali zetu!!
Naona leo mmeniamulia kwa kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]acha kulialia kak angu jipinde bas walau nusu yake
khaaa[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ungekuwa kwa bahati mbaya umemeza kipande cha Almas chenye thamani kama millioni 500 ningetoa hiyo pesa nikakuchinje. Milioni 200 nahongea kesi mpaka iishe mia 3 naanzia hapo.
Asante...you're a good girl.Sawa Bro usijali.
[emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wana pesa za maandishi. Teh teh.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Unajifanya hukuona kusomaNini wewe? Kuna nini hapa?