Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh!...Pia inaweza ikawa kwa wapenzi watarajiwa...
Daaahhh na sie tusiokua na siku maalamu
Na wauza zawadi teleSiku hizi ndo Wengi Sana .
[emoji23][emoji23]Alafu kuna wale wa sio wa leo wala wa kesho [emoji3][emoji3][emoji3] yaani inapita tu shwaaa
Nishaandaa jembe na mbolea ukiwa unaenda naomba unishtue nisije nikachelewa🥹Kuna siku ya upandaji miti duniani, tushiriki tu hiyo mama...
Inasikitisha[emoji23][emoji23]
Umefikia conclusion haraka sana, huku jukwaani tupo ME ambao tuna hali kama yako, so we can match.Ambao hatupo kwenye list ya leo wala hiyo kesho vipi Tuhamie Mars ama? au basi tutashiriki "Ash Wednesday"[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kumbe kesho ndio valentine day na mimi nipo kudhani leo ni tarehe 9. Poor me.
Tunakutana Pm na kuachana huko kuko pm nzuri sana hii😂😂Umefikia conclusion haraka sana, huku jukwaani tupo ME ambao tuna hali kama yako, so we can match.
Hakuna haja ya kuhamia Mars, pale ulipo ndipo faraja yako ipo. Upo on Planet Earth, bilashaka faraja yako pia ipo hapahapa.
So usjali. PM Iko wazi, hata tusipobadilishana namba kwa sababu za kiusalama, tunaweza tukakutana PM na kuachana kulekule PM baada ya kufarijiana [emoji2].