Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Kuna kitu nimekisikia Nikabaki nacheka .
Swala La BRELA kusema hawana Taaarifa Kamili Juu ya Kampuni ya Lugumi name hivyo waulizwe TAKUKURU ..
Nikajiuliza BRELA kazi yao ni nn ..kama hawajua Shareholders wa Lugumi ? na wao ndio wenye Mamlaka hayo ya kusajili name kutuza kumbukumbu za Kampuni .
Hilo ni Jipu tu lingine liloiva .