Gariexpress
Member
- Feb 23, 2015
- 44
- 11
Gariexpress. Hizo bei zenu ni pamoja na ushuru na namba za usajiri. Hakuna gharama ya ziada ambayo mtaje ataingia baada ya kulipia hicho kiasi?
Ushuru wake ni US 11317 kaka.
ALT: Unaweza kudownload calculator hapo chini kwenye link.
Motor Tax Calculator ni kikokotozi cha ushuru wa TRA pamoja na gharama zingine za kuli clear gari lako bandarini. Kikokotozi hichi n rahisi kukitumia kulinganisha na ile inayotumika na TRA (MS excel). Jua Ushuru na gharama zote kabla ya kuagiza gari lako.
Download link : MOTOR TAX CALCULATOR
Thanks
Gariexpress.com
Support
TRA hawasomeki kiukweli. Calc zao haziendani na uharisia hata uduchu. Bora kununua gari iliyokwama kama hela yako niya kupima
Kaka uliuliza kodi nika calculate ushuru nikapata US 11317 kulingana na specs za gari ulilotaja. kwa ufafanunuzi zaidi ungeweza kudownload calculator niliyo kuwekea link hapo. Ushuru unaweza kuwa mkubwa kuliko bei uliyonunulia kwasababu TRA wana Current Retail selling price zao ambazo wanatumia kutafuta ushuru kwa kila gari na sio bei uliyonunulia gari kwa wakati huo.
Thanks
Gariexpress.com
Support
Ntajaribu kujibu swali lako kwa kutumia data zifuatazo - ulizozitaja.
MOdel: Toyota Ipsum Picnic
Year: 2004
Capacity: cc 2000
CIF: 3000$ ($2000 FOB $1000 kusafirisha +insurance (kama 4.8m tzs)
Kutoka kwenye Price List ya TRA version 15 (na baada ya ku-google kidogo) gari ulilotaja linafanana
na:
MOdel: Toyota IPSUM ACM 21/26
Year: 2004
Capacity: cc 2362
Price when new (Hapa ndio kwenye ugomvi, kwasababu naamini bei nyingi wamezichakachua!!): 25,014$
Maswali:
1.Ntalipa sh ngapi kulitoa gari bandarini?
TRA wanatumia bei ya gari likiwa jipya, nakufanya mahesabu ya uchakavu ili kujua thamani ya gari kwa sasa.
kwa kutumia Calculator ya TRA, Thamani ya gari hilo ( Toyota IPSUM ACM21/26 - 2004 ) ni: 3,700$
Kodi ya Jumla ni: 2,303$
Naamini kuna gharama nyingine za bandarini - naomba wadau wanazijua watusaidie.
2.Je TRA wanatumia bei hiyo nliyonunulia($2000) au ($3000) kufanya calculations zao
au wana bei maalum kwa gari la aina hiyo nliyotaja hapo juu?
TRA watatumia bei ya chini kabisa ( a minimum of) ya 3,700$ kufanya hesabu za kodi.
Po.box 12659BUSIMINET COMPANY LIMITED
Kinondoni-Dar es salaam
Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
OUR SERVICES: Tax, Business, IT, Accounting &Bookkeeping and Other services
TAX
1.Assist in preparation and submission of Returns to TRA
2.Assist in estimation and determination of tax liabilities.
3.Online Returns submission and Payment Registration with TRA.
4.Assist in Tax Payment processing.
5.Reminding about due dates for Tax payment and Other Tax/Statutory compliance.
6.Tax health-checks
7.Processing transfer or change of ownership with TRA
8.Assist in filing and submission of TRA forms.
9. Assist in Applications for Requesting Tax exemption.
10.Tax consultation and advisory.
BUSINESS
1.Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, NGOs, Succoss and Company registration with BRELA.
3. Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile
4.Preparation of business plans
5.Business Restructuring
6.Loan processing
7.Business consultations
8.Preparation of Research proposals
IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.Logo,Bill boards, Posters.
2.Business cards, Identity cards (ID).
3.Brochures Flyers, Invitation cards.
4.Calendar,Product label Magazines
5.Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.Website, Blogs and Systemdesign and development
7.Computer maintenance
8.Computer software installation
9.Network designing and installation
10.CCTV installation
11.AC installation and maintenance
ACCOUNTING AND BOOK-KEEPING SERVICES
1.Stock counting
2.Preparation of bank reconciliations
3.Preparation of annual financial statements complying with International Financial Reporting Standards.
4.Posting of financial transactions from source documents , (IFRS).
5.Preparation of budgets and management reports.
6.Payroll services (preparation of the payroll including pay slips)
7.How to keep books of account
OTHER SERVICES
1.Mining
2.Marketing and advertisement
3.Education
4.Agricultural activities
5.Gas activities
6. Cargo clearing
7. Legal consultancy
8.Staff recruitment & Out-Sourcing
9.Project management and analysis
10. Training and workshops to Enterpreneurs, scholars and other groups that need to excel in their business
Business in the smooth environment ensures growth
okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd
Hapo mwisho ndipo sijakupsta vyema unasema bei ya chini kabisa! Wamaanisha bei ya gari hiyo ikiwa mpya au kwa used wake ndio wanachukua bei ya chini!? Maana huyo aliuliza anasema cif ni 3000 sasa 3700 ndio bei ya chini?! Wakati gari pekeyake ni 2000!??
Duh, kaka sijaingia humu muda mrefu. Hata hivyo nitajaribu kujibu ingawa muda umepita sana.
Hiyo "bei ya chini" ndio thamani ya sasa(kipindi hicho) aka CIF ya gari kwa mujibu/mahesabu ya TRA, kama ulinunua na kusafirisha kwa bei ya chini ya hapo, basi wanaipandisha mpaka kufikia kiasi hicho.
NB. Hizi ni hesabu za kitambo kidogo. TRA wameweka calculator kwenye tovuti yao.
Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools
Fuatilia hapo uone. Pamoja na hayo, bado nasisitiza kuwa bei za magari yakiwa mapya zinatotumiwa na TRA ni za kuchakachua au kwa msema wa sasa "za kukata".
TRA tunahitaji maelezo ya hizi bei zenu!!!
Kwenye price list yenu.
1. Hakuna model zote za magari kwa miaka husika.
kwa mfano.
Model Year CC Price
CHEVROLET CRUZE - HR52S 2004 1300 XXXXX? --> na gari hizi zipo, mtaani. Walifanya vipi kujua kodi yake?
2. Inawezekana vipi, model ya gari kuwa bei moja kwa miaka minne (4)/zaidi mfululuzo?
kwa mfano.
Model Year CC Price
RAV 4 - 3 DOOR ≥ 2005 2400 39,482
RAV 4 ZCA26W 5 - DOOR ≤ 2003 1800 60,111
Napenda kuamini hamjaamua kwa makusudi KUWAIBIA WALIOAMUA KULIPA KODI KWA KUCHAKACHUA BEI ILI TU MPATE "FIGURE" MNAZOZITAKA NINYI.
Noamba kuelimishwa.
Hivi hizi bei za TRA za Magari mapya/yalipokua mapya wanazipata wapi? Mimi nina mashaka nazo sana!
Kwa mfano tuangalie bei zifuatazo za Toyota RAV4
Model Year CC Price
RAV 4 ZCA26W 5 - DOOR ≤ 2003 1800 60,111 <- inawezekana Bei kuwa sawa toka 2000 ->2003 ???
RAV 4 ZCA26W 5 - DOOR 2004 1800 53,432
RAV 4 ZCA26W 5 - DOOR 2005 1800 51,206
RAV4 ZCA 3-DOOR 2000 1800 50,379
RAV4 ZCA 3-DOOR 2001 1800 57,149
RAV4 ZCA 3-DOOR 2002 1800 59,825
RAV4 ZCA 3-DOOR 2003 1800 59,825
RAV4 ZCA 3-DOOR 2004 1800 45,481
RAV4 ZCA 3-DOOR 2005 1800 40,932
source Tanzania Revenue Authority - Home
Fananisha bei hizo na bei ya Toyota RAV4 GX 5D Wagon 2013 - $23,300
source: Toyota Rav4 2013 | Crossover SUV
Jamaa wanakisia Ama?
Naambatanisha: Price list ya TRA ya January, 2013 (from Tanzania Revenue Authority - Home)
Halafu kuna Models nyingi za magari hazijawekwa, Je TRA wanatumia njia ipi kupata hesabu za kodi kwa models ambazo hazipo kwenye orodha yao?
Naomba kuelimishwa.
TRA ni genge la wezi linalofadhiliwa na watawala. Hesabu zao hazina mantiki yoyote. Si serikali wala wenyewe wanaoweza toa ufafanuzi wa gharama hizo za kutungwa, dawa ni kuing'oa na kuitupa jalalani serikali nzima ya CCM ifikapo Okt. 25 ili tuanze upya. Kodi za namna hii zinamhamasisha mlipaji kukwepa au kutoa rushwa ambayo ndiyo sera rasmi ya chama tawala CCM. Down with CCM!Me too! eti wameweka price list & calculator kwenye web yao lakini gari inapofika bado wanaanza kufanya evaluation ya kivyao vyao then you end up paying more, uplifted prices...why fcn bisss?