Elections 2010 Value for Money: Matundu ya Choo Bagamoyo...

Elections 2010 Value for Money: Matundu ya Choo Bagamoyo...

Mkuu Pasco, nilikuwa Mwembeyanga jana na hata wale waliokuwepo wanakumbuka Slaa alisema hizo ndio figure zilizoandikwa, ila hata yeyey alionya kuwa ikiwa kuna makosa kwenye maandishi (kama wewe unavyohisi) basi huo utakuwa ni uzembe wa hali ya juu kwa kiongozi mkuu wa nchi kusomewa taarifa hiyo na yeye asiulize kwa makini eneo hilo>
Nicky82, makosa mengi ya figure, yanatokea kutokana na kutokuwepo umakini, kwa vile JK sio makini, alihitaji timu ya watu makini karibu yake ili kuzui asiboronge, tangu ameingia ikulu, tumeshuhudia miborongo mingapi?, ukoseklanaji wa umakini unaopelekea miborogo ndio uzembe wenyewe, na pale unapohusisha upotevu wa fedha za umma ni kosa la jinai, kwa jina la 'matumizi mabaya ya madaraka'

Mara nyingi ile miborongo ya ikulu, inasababishwa na wenye dhamana kutokuwakuwa makini, hivyo wanamponza bure JK, ila na JK mwenyewe angekuwa makini, iko miborongo mingine angeweza kabisa kuiepuka au kuizuia!, hii maana yake ni hata umakini wa JK ni queastionable, nilitegemea kwa vile umakini wa Dr.Slaa hauna mashaka, angelizungumzia hili katika tasnia ya uzembe kimahesabu na sio matumizi mabaya na ya kutisha ajabu ya fedha!.
 
Na alisema alikuta hii hali pia Dodoma, Shinyanga na Singida sijui... Pamoja na sehemu flani zingine.
 
, angelizungumzia hili katika tasnia ya uzembe kimahesabu na sio matumizi mabaya na ya kutisha ajabu ya fedha!.

Pasco nimekupata kabisa lakini itakuwaje kama hakuna kosa lolote katika tarakimu na ni kweli zimetumika hizo fedha maana hadi hivi sasa hakuna uongozi uliokanusha kuwa hazikutumika. For me naamini kilichoandikwa hadi wao (serikali) waje kutusahihisha. Halikuwa jukumu la Dr. Slaa kusahihisha hizo namba ni jukumu la wao waliotekeleza huo mpango.
 
Pasco nimekupata kabisa lakini itakuwaje kama hakuna kosa lolote katika tarakimu na ni kweli zimetumika hizo fedha maana hadi hivi sasa hakuna uongozi uliokanusha kuwa hazikutumika. For me naamini kilichoandikwa hadi wao (serikali) waje kutusahihisha. Halikuwa jukumu la Dr. Slaa kusahihisha hizo namba ni jukumu la wao waliotekeleza huo mpango.

Hii imekaa vizuri sana Mzee MM, nadhani bado tunawahitaji sana watu kama wewe. Shida kubwa niliyonayo na Pasco kwenye hili ni kwamba ameconclude kabisa kwamba figures zimekosewa which I guess sio sahihi. Ufisadi wa ccm unafanya common sense isiwe na maana kabisa. Vitu ambavyo akili inagoma kwamba haviwezekani kwa ccm vinawezekana. Pasco ni kweli kwamba katika hali ya kawaida huwezi kujenga choo kwa m 7oo lakini kwa ccm yenye ufisadi usio wa kawaida hilo linawezekana kabisa mkuu. Natamani ujasiri huu kwenye mambo negative (ufisadi n.k) ungehamishiwa kwenye mambo positive ya kulijenga Taifa hili lenye utajiri wa kutisha lakini linaloogelea kwenye umasikini wa kutisha pia.
 
Nicky82, makosa mengi ya figure, yanatokea kutokana na kutokuwepo umakini, kwa vile JK sio makini, alihitaji timu ya watu makini karibu yake ili kuzui asiboronge, tangu ameingia ikulu, tumeshuhudia miborongo mingapi?, ukoseklanaji wa umakini unaopelekea miborogo ndio uzembe wenyewe, na pale unapohusisha upotevu wa fedha za umma ni kosa la jinai, kwa jina la 'matumizi mabaya ya madaraka'

Mara nyingi ile miborongo ya ikulu, inasababishwa na wenye dhamana kutokuwakuwa makini, hivyo wanamponza bure JK, ila na JK mwenyewe angekuwa makini, iko miborongo mingine angeweza kabisa kuiepuka au kuizuia!, hii maana yake ni hata umakini wa JK ni queastionable, nilitegemea kwa vile umakini wa Dr.Slaa hauna mashaka, angelizungumzia hili katika tasnia ya uzembe kimahesabu na sio matumizi mabaya na ya kutisha ajabu ya fedha!.

Pasco,

Sikubaliani na wewe pale unaposema Slaa alitakiwa kuzungumzia uzembe wa kimahesabu. Mpaka sasa huwezi ku-concludekwaba ulikuwa uzembe au watu walikuwa wanatengeneza mlo wao. Alichofanya Slaa ni kuwaeleza wananchi ili waamuwe wenyewe kama kweli 700 million zinaweza kujenga choo. JK kama angekuwa makini alitakiwa kuquestion straight maana hizo kwa kweli ni pesa nyingi sana.

Imagine kama inavyosemekana bajeti yetu ni 11 Tillion. Kama ni kweli kwa gharama ya choo cha 700 million ina maana badget yetu ina uwezo wa kujenga vyoo 16 million tu.
 
Yapo mambo mengi ambayo matumizi yake yanatia shaka,tusitegemee uchumi wetu kusonga mbele,labda hiyo bajeti matumizi halali inaweza kuwa 40% inayobakia inawekwa mifukoni mwa mafisadi, mzigo anaubeba mwananchi.
 
Hii imekaa vizuri sana Mzee MM, nadhani bado tunawahitaji sana watu kama wewe. Shida kubwa niliyonayo na Pasco kwenye hili ni kwamba ameconclude kabisa kwamba figures zimekosewa which I guess sio sahihi. Ufisadi wa ccm unafanya common sense isiwe na maana kabisa. Vitu ambavyo akili inagoma kwamba haviwezekani kwa ccm vinawezekana. Pasco ni kweli kwamba katika hali ya kawaida huwezi kujenga choo kwa m 7oo lakini kwa ccm yenye ufisadi usio wa kawaida hilo linawezekana kabisa mkuu. Natamani ujasiri huu kwenye mambo negative (ufisadi n.k) ungehamishiwa kwenye mambo positive ya kulijenga Taifa hili lenye utajiri wa kutisha lakini linaloogelea kwenye umasikini wa kutisha pia.

Boby asante kwa angalizo hili. Bado nafuatilia toka kwenye ripoti ya CAG. At the moment, it is still a puzzle to me.
 
Totaly confused is it 70 or 7 or 700 million?
 
Back
Top Bottom