Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Hizi kelele za Tshabalala ni za kutaka kuongeza value ya mchezaji sehemu husika au katika soko na sio jambo baya kutafuta njia ya kumnadi mchezaji thamani ipande.
Ila
Kuna njia nyingi za kufanya thamani ikapanda esp mchezaji akiwa katika kiwango bora. Moja ya njia nzuri kabisa ni kuboresha mahitaji ya mchezaji kutokana na thamani yake ukaenda kwa uongozi na kudai hivyo vitu mkiwa mezani bila hata kupiga kelele na mkifika kwenye mwafaka mzuri tu.
Kupiga kelele nje can help sometimes kama kelele zikiwa nzuri kwa kutaka backup ya fans wapige pressure kwa uongozi au wenye uhitaji waone ndio chance ya wao kuweka turufu zao kumpata mchezaji.
Ila
Madhara yake ni ukipiga kelele hovyo unaweza kukosa unachotaka na kuharibu image yako na ya mchezaji kwenye future soko na hata mahusiano ya sehemu alipo.
Ila
Kuna njia nyingi za kufanya thamani ikapanda esp mchezaji akiwa katika kiwango bora. Moja ya njia nzuri kabisa ni kuboresha mahitaji ya mchezaji kutokana na thamani yake ukaenda kwa uongozi na kudai hivyo vitu mkiwa mezani bila hata kupiga kelele na mkifika kwenye mwafaka mzuri tu.
Kupiga kelele nje can help sometimes kama kelele zikiwa nzuri kwa kutaka backup ya fans wapige pressure kwa uongozi au wenye uhitaji waone ndio chance ya wao kuweka turufu zao kumpata mchezaji.
Ila
Madhara yake ni ukipiga kelele hovyo unaweza kukosa unachotaka na kuharibu image yako na ya mchezaji kwenye future soko na hata mahusiano ya sehemu alipo.