M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Mkuu Copies 750 chache sana,tusipakane mafuta kwa mgongo wa chupa,anatakiwa awe na team yake kubwa,PR/Marketing/Promo kuPush Mauzo.Ndo kaanza.... Hujaona kuwa ni mafanikio makubwa?
Unatakaa aanze na kuuza nakala milioni na zaidi?
Tujitahidi kupeana moyo jamani why uvunje moyo mtu? Yaani kwa maoni yako we umeona si mafanikio hayo... Tumetofautiana sana hapa Duniani..
Nadhani next time utawapa moyo wasanii wetu na majirani zetu wanapoanzisha miradi mbali mbali.
For me, big up to her.
Album zao hazina ubora ndomana hazinunuliki,..waimba gospel wabongo kina mwaitege.rose muhando wanauza mara 100 ya hizo.sabab ya ubora wa album...nyimbo ni za kawaida saana tatzo,mtu ananunua kusapot tuu lakin sio kwamba anapeenda kiviile nyimbo hzo za mdee.ndomana mauzo yanakua hafif..sjaona bado mwanamuzik wa album bongo,labda diamond angalau ana nyimbo nying kali,wengne nyimbo kal ni za kubahatishaMuziki ungewekewa misingi na kulindwa kama biashara zingine tungezalisha mamilionea toka street wengi tu.
imagine auze copy laki mbili angalau.
Cd feki zipigwe vita kama vipodozi feki au vyeti feki tutengeneze ajira za bure bure kwa masela badala ya kuwa mateja na wakabaji.
Mkuu huyo ni kenge kwenye msafara wa mamba!Wenzake wiki ya kwanza wanagonga platinum RIAA Certfied yeye anafurahi copies 750?