Vanessa auza nakala 750 za CD ya Money Mondays

Vanessa auza nakala 750 za CD ya Money Mondays

Ndo kaanza.... Hujaona kuwa ni mafanikio makubwa?

Unatakaa aanze na kuuza nakala milioni na zaidi?

Tujitahidi kupeana moyo jamani why uvunje moyo mtu? Yaani kwa maoni yako we umeona si mafanikio hayo... Tumetofautiana sana hapa Duniani..

Nadhani next time utawapa moyo wasanii wetu na majirani zetu wanapoanzisha miradi mbali mbali.

For me, big up to her.
Mkuu Copies 750 chache sana,tusipakane mafuta kwa mgongo wa chupa,anatakiwa awe na team yake kubwa,PR/Marketing/Promo kuPush Mauzo.
 
Muziki ungewekewa misingi na kulindwa kama biashara zingine tungezalisha mamilionea toka street wengi tu.

imagine auze copy laki mbili angalau.

Cd feki zipigwe vita kama vipodozi feki au vyeti feki tutengeneze ajira za bure bure kwa masela badala ya kuwa mateja na wakabaji.
Album zao hazina ubora ndomana hazinunuliki,..waimba gospel wabongo kina mwaitege.rose muhando wanauza mara 100 ya hizo.sabab ya ubora wa album...nyimbo ni za kawaida saana tatzo,mtu ananunua kusapot tuu lakin sio kwamba anapeenda kiviile nyimbo hzo za mdee.ndomana mauzo yanakua hafif..sjaona bado mwanamuzik wa album bongo,labda diamond angalau ana nyimbo nying kali,wengne nyimbo kal ni za kubahatisha
 
Back
Top Bottom