Ndefu inakera sioFupi tamu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndefu inakera sioFupi tamu....
Mbona kamzungumzia, kasema alikazwa na mariooHujamzungumzia mimi mars
Na ndo nilitaka sana kujua hili.Pole sana Ve Money na hongera kwa Rotimi kwa kumnusuru dada yetu katika msongo mzito wa Mawazo,
Ndugu mwandishi hujazungumzia kuhusu jicho lake moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jux mlamba lipsi na afya ya akili wapi na wapi
Vanessa ana upofu wa jicho moja.Na ndo nilitaka sana kujua hili.
YeaaaahVanessa ana upofu wa jicho moja.
Dimpoz na Vee hawakuwahi kuwa wapenziii, walitoa tyuuh ile hit, hawakuwahi date.Hongera mkuu
Ila pia wakati Vanessa anaingia kwenye muziki alikuwa ni moja ya best Event Mc maana alihost BSS na dume challenge..
Kiufupi naamini Vee money asingeingia kwenye muziki ndio angerithi kiti cha Jokate kwenye U_MC maana hadi sasa pengo lake halijazibika
Kuna Issue ya Kuigiza MTV series SHUGA South Africa naona hujaigusia pia,
Kuanza muziki kama rapper, kuna rumours pia wimbo wa AY wa bread and breakfast kuna sauti ya kike inasemekana ni yake
Ugomvi wake na Hammy B baada ya kujitoa chini ya recording label yake na kuanza kwenda kama solo artist..
Uhusiano wake na Dimpaz via Me and You uliompa pia mileage kubwa kwa Bongo flava
Vee ana vitu vingi tatizo lakini naelewa umeegemea kwenye tatizo lake la depression which is also good
Ingawa nimejaribu kutafuta ukweli wa tatizo lililoleta upofu, lakini sijapata habari ya kujitosheleza.Yeaaaah
Hata mie pia japo yeye mwenyewe Vee hakuwahi sema hilo.Ingawa nimejaribu kutafuta ukweli wa tatizo lililoleta upofu, lakini sijapata habari ya kujitosheleza.
Ukizingatia KIA kabila lake mkwereJux mlamba lipsi na afya ya akili wapi na wapi
Kuna wababa wanataka heshima nyumbani kwamba wao ndio kilakituNimejifunza kwamba sisi wababa tuwe tuna simulate maisha ya endapo hatupo duniani familia inaweza ku exist namna gani? tusiwe one man show.
Jaribu kuwafanya watoto na mama yao kuwa jasiri, tumia muda kuongea nao if your not there what you expect them to do, behave etc... !! inasaidia sana hasa hivi vifo vya ghafla.
Watoto hata mama yao watakuwa wanasema.. "hata baba alisema wakati wa uhai wake....."
Vanessa ni mparePicha sasa.
Halafu mbona kama walikiwa na ubini mwingine au wachaga ndio utaratibu wenu huu??.mfano jina la mimi mars lina ubini