Aisee nimecheka mpaka machozi yamenitoka lol.....Kuna jamaa anakwambia eti kana sura kama uso wa mbuni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali wameshtuka mapema, maana Mpare + Mmakonde wangezaa Mange mwingine.
Hahahahahah ndio ..na nilikua siipendi hy kapo...we mwenye roho nyepesi kama karatasi kufa na huruma yakoUna roho ngumu wewe, kama paka
Hahah ufupi sio issue ,ttz walikua hawaendani kbsa....Maana so kwa ufupi ule
Hehehe basi kamchukue wewe na roho ngumu yako.Hahahahahah ndio ..na nilikua siipendi hy kapo...we mwenye roho nyepesi kama karatasi kufa na huruma yako
V-Money hana Nyama kabisa aongeze ongeze nyama kama mdogo wake wa TV1 Mimirvs.vanessa mdee athibitisha rasmi kumbwaga jux mazima.
chanzo:clouds tv
Ni mwenyekiti wa kibiti
hahahaha jamaniiiiKama pilipili kichaa
[emoji3]hahahaha jamaniiii
Hahaha..Kama pilipili kichaa
Uyo vanessa mbona ana sura mbaya ivo afu kamekomaa atareBora maana walikua hawaendani kabisaaaaA....yaani nimefurahi sanaaa....vanesa utapata size yako mama mtakao fit...sio jux...yaan mlikua hampendezi kabisa