MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Jux Ni Mkia Wa Simbirisi Hauna Msaada Atabaki Kulialia Tu Badala Afanye Yakejux bado kutunga wimbo wa mtoto kujifungua !
Mzee watu wanacheza na fursa, binafsi sikua namjua JUX na wala sijawahi kua shabiki wake and in fact hata nyimbo yake 1 sikua naijua na nina uhakika hata yeye anajua kama hana mashabiki wengi kiviile, baada ya Mdee kupata mimba jamaa akaiona fursa ya kupigia pesa na kweli akapiga, katunga wimbo kauweka youtube na watu wakajikuta wanautangaza sana mitandaoni and hence wengi tukaenda kuufungua na kuusikiliza, mwishoni mwa siku akajikuta amepata viewers wengi tu, hongera kwake, nimeukubali ubunifu wake. Kwenye tatizo, ipo fursa, kaiona fursa, kaitumia fursa, HONGERA sana dogo JUXJux Ni Mkia Wa Simbirisi Hauna Msaada Atabaki Kulialia Tu Badala Afanye Yake
Joka la KibisaUzuri ni kwamba hata mumseme jux Ila ukweli utabaki jux ameshawahi kumtomber vannesa. Hilo halifutiki.
Ukidate na mvulana anaitwa Juma andika umepigwa mbaya zaidi awe Mzaramo.Uzuri ni kwamba hata mumseme jux Ila ukweli utabaki jux ameshawahi kumtomber vannesa. Hilo halifutiki.
Bufa nimemuona mwenzio hapa walaqhi',Imgekua Bongo ungesikia jina la mtoto ni Joseph, Christopher Columbus, Johnson, Patrick, Silvester, Michael nk kwamba haya ndio majina yenye baraka, majina yaliyobarikiwa, majina yenye upako lakini majina ya babu zao kama massawe, mwita, wambura, maduhu, masunga, mayala, Ngonyani, nk hayo yana laana, machafu, yataletea mtoto mikosi, laana.
Dini zimepumbaza sana watu.
Hahaa..Wetu tutampa jina moja la kimatumbi amazing au unasemaje mama la mama?
Hahaa..
Haswaa laazizi, tutamchagulia lile la Ileje ndani ndani kabisa, hata kulitamka tu liwashinde walimwengu.!!
Imgekua Bongo ungesikia jina la mtoto ni Joseph, Christopher Columbus, Johnson, Patrick, Silvester, Michael nk kwamba haya ndio majina yenye baraka, majina yaliyobarikiwa, majina yenye upako lakini majina ya babu zao kama massawe, mwita, wambura, maduhu, masunga, mayala, Ngonyani, nk hayo yana laana, machafu, yataletea mtoto mikosi, laana.
Dini zimepumbaza sana watu.
Umeshadate na wakina Juma wangapi bibie?Ukidate na mvulana anaitwa Juma andika umepigwa mbaya zaidi awe Mzaramo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeshadate na wakina Juma wangapi bibie?