Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uzandikiUkidate na mvulana anaitwa Juma andika umepigwa mbaya zaidi awe Mzaramo.
Yanatabu sana huwaImgekua Bongo ungesikia jina la mtoto ni Joseph, Christopher Columbus, Johnson, Patrick, Silvester, Michael nk kwamba haya ndio majina yenye baraka, majina yaliyobarikiwa, majina yenye upako lakini majina ya babu zao kama massawe, mwita, wambura, maduhu, masunga, mayala, Ngonyani, nk hayo yana laana, machafu, yataletea mtoto mikosi, laana.
Dini zimepumbaza sana watu.
Misukule ya dini hamuwezi kukosa.Yanatabu sana huwa
NdioMisukule ya dini hamuwezi kukosa.
Kwa hiyo hao wenye hayo majina huko nyuma walipata matatizo, sio?
Kw ahiyo patrick haina shida ila mahalu lina shida?
Dini imewaondoa akili kabisa za kufikiri.
Hiyo sio issue......Uzuri ni kwamba hata mumseme jux Ila ukweli utabaki jux ameshawahi kumtomber vannesa. Hilo halifutiki.
Yaani kama Babu yangu alikuwa mchapa kazi na mfanyabiashara maarufu na sifa zingine nzuri nikimpa mtoto jina lake litakuwa na shida gani?Yanatabu sana huwa
Mbona umesahau juma, abdalah, naseeb, aisha nk, nikuambie tu majina hayana tatizo usipaniki tu kama wewe unatumia mwita au chacha kaa kwa kutuliaImgekua Bongo ungesikia jina la mtoto ni Joseph, Christopher Columbus, Johnson, Patrick, Silvester, Michael nk kwamba haya ndio majina yenye baraka, majina yaliyobarikiwa, majina yenye upako lakini majina ya babu zao kama massawe, mwita, wambura, maduhu, masunga, mayala, Ngonyani, nk hayo yana laana, machafu, yataletea mtoto mikosi, laana.
Dini zimepumbaza sana watu.
Uwe unajitahidi KUSOMA na KUELEWA mantiki kabla hujadandia mada.Mbona umesahau juma, abdalah, naseeb, aisha nk, nikuambie tu majina hayana tatizo usipaniki tu kama wewe unatumia mwita au chacha kaa kwa kutulia
Dada,mama zao wadogo wakijifungua hawazungumzi kabisaHaya fanyeni hima mkapost hizo picha kwenye status zenu za Whatsapp kama mlivyopost zile picha zake akiwa mjamzito.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya fanyeni hima mkapost hizo picha kwenye status zenu za Whatsapp kama mlivyopost zile picha zake akiwa mjamzito.
Umesahau KendrickImgekua Bongo ungesikia jina la mtoto ni Joseph, Christopher Columbus, Johnson, Patrick, Silvester, Michael nk kwamba haya ndio majina yenye baraka, majina yaliyobarikiwa, majina yenye upako lakini majina ya babu zao kama massawe, mwita, wambura, maduhu, masunga, mayala, Ngonyani, nk hayo yana laana, machafu, yataletea mtoto mikosi, laana.
Dini zimepumbaza sana watu.
Ukidate na mvulana anaitwa Juma andika umepigwa mbaya zaidi awe Mzaramo.