Vanessa Mdee akamatwa na Polisi Dar kwa tuhuma za Madawa ya Kulevya


Haaaa haaaa, teeeh teeeh teeeh 😀😀
Asante sana Faiza, nimekaa sehemu sisomi sana kiswahili sasa naona hii lugha yaanza potea haswa hii ya kuandikika.

Ahsante sana nimebadilisha sasa panasomeka "Subiri"
 
Naona kazi ya makonda inaendelea, safi sana
Sawa Mpwa, najua wewe ni mtetezi wa Bashite na ubashite wake!

Now be honest....!! Let's assume Vee Money ni drug dealer!!!! Hivi tangu alipotajwa live bado unatarajia leo hii watamkuta na angalau ka-particle kamoja ka ngada?!!
 
Kingereza hujui kaa utulie wewe bibi jihad.


Nilizaliwa wakati Mwingereza ndiyo mtawala, hata ndoto nnaota kwa Kingereza, kumbuka hilo.

Isitoshe, si Kingereza tu, AlhamduliLlah, nna lugha sita za Kimataifa zimetulia kichwani licha ya mbili tatu zingine za kuombea maji.
 
Mwambie mkuu, kuna mkuu anahisi jux anamuhonga Vanessa wakati ushaskia anajiita "cash madame"
Jux anatumia Uwepo wa Vanessa ku make Platform yake ohooo hata meek meel hamfikii Nick kwa mtonyo sema mtoto alimpenda Nigga alipokuwa na nick minaj ilikuwa noma too Bad they Broke up *Got Club going crazy all these Bit*s but ma Eye on ya* we go crazy [HASHTAG]#All[/HASHTAG] Eyes on Ya#
 
Warumi kwani unaona ni sawa kuwakamata hawa watumiaji na kuwaweka ndani, badala ya kuwatumia kama link ya information kwa wale mapapa wakubwa wanaowauzia. . ?
Kama mtumiaji pia ni muuzaji, hapo utawashauri polisi wafanye nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…