Vanessa Mdee akamatwa na Polisi Dar kwa tuhuma za Madawa ya Kulevya

Ila Paul makonda hii laana itamuandama tu wauza unga wanaacha wanatajwa watu we nye utajiri na wanaosafiri mara kwa mara kwenda nje
 
Ila Paul makonda hii laana itamuandama tu wauza unga wanaacha wanatajwa watu we nye utajiri na wanaosafiri mara kwa mara kwenda nje


Makonda ni k!laza hajui mambo ya uchunguzi wala upelelezi. Sugu kasema anatafuta sifa kwa demu wake tu
 
 
Makonda ni k!laza hajui mambo ya uchunguzi wala upelelezi. Sugu kasema anatafuta sifa kwa demu wake tu
Anachafua watu bila ushahidi halafu alivyo kilaza majina ameandika kwa mkono
Kweli lilia bahati usililie vyeti
Ndo maana swala la kufanya vibaya mkoa wa dar amekaa kimya na anavyopenda sifa ingekuwa vyeti anavyo angeshaweka zamani Mr misifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…