Vanessa Mdee alalamika TraceMiziki wana upendeleo

Vanessa Mdee alalamika TraceMiziki wana upendeleo

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Msanii nyota wa bongo fleva Vanessa Mdee wamewachana kituo Cha muziki Cha Muziki kwa kusema kimekuwa na upendeleo kwa muda mrefu kwa baadhi ya wasanii.Msanii Bilnass nae alimuunga mkono Vanessa kwa kusema hakumbuki yeye ni lini nyimbo yake ilipigwa kituoni hapo.
TraceMuziki ni kituo kilichopo nchini Kenya kilianzishwa kwa ajili ya musiki wa Africa mashariki, ni tawi la kituo kikubwa Cha Trace Urban.
Kimekuwa na minong'ono kwa kutuo hicho kupendelea wasanii wa WCB katika playlist zao za Kila siku
Inst-image-3.jpeg
Inst-image-4.jpeg
 
Msanii nyota wa bongo fleva Vanessa Mdee wamewachana kituo Cha muziki Cha Muziki kwa kusema kimekuwa na upendeleo kwa muda mrefu kwa baadhi ya wasanii.Msanii Bilnass nae alimuunga mkono Vanessa kwa kusema hakumbuki yeye ni lini nyimbo yake ilipigwa kituoni hapo.
TraceMuziki ni kituo kilichopo nchini Kenya kilianzishwa kwa ajili ya musiki wa Africa mashariki, ni tawi la kituo kikubwa Cha Trace Urban.
Kimekuwa na minong'ono kwa kutuo hicho kupendelea wasanii wa WCB katika playlist zao za Kila siku
View attachment 967887View attachment 967888
Hiyo WCB umeongezea ww.
 
Kwahiyo umeona uzi wak haukamiliki bila kuitaja wcb,,dume zima halion aibu kuongeza chumvi
Wewe unaakili kweli?shule ulienda kusindikiza wenzio? Kabla hata Vanessa hajasema hayo Kama unafutilia Trace muziki huwezi andika ujinga ulioandika
Kwenye page zao hata mashabiki wamekuwa wakicomment
Siku nyingine acha kukurupuka kabla hujafanya tafiti
Screenshot_20181214-123607.jpeg
Screenshot_20181214-123317.jpeg
 
Nionyeshee sehemu ambayo Vanessa kawataja WCB.
Hivi unajua kusoma kweli? Kuna sehemu nimeandika Vanessa kataja WCB?
Nimekwambia Kuna minong'ono kuhusu WCB ndo ukweli hata kwenye kurasa zao mashabiki wamekuwa wakicomments
Screenshot_20181214-123607.jpeg
Screenshot_20181214-123317.jpeg
 
Hivi unajua kusoma kweli? Kuna sehemu nimeandika Vanessa kataja WCB?
Nimekwambia Kuna minong'ono kuhusu WCB ndo ukweli hata kwenye kurasa zao mashabiki wamekuwa wakicomments
View attachment 967950View attachment 967951
Unawezekana ukajua kusoma lakini husielewe kimeandikwa nini, hao mashabiki ila mimi nilikuwa nakuomba uhighlight sehemu ambayo Vanessa kasema kwamba WCB wanapeendelewa, manake nimesoma sijaona sehemu ambayo Vanessa kawataja WCB kama ulivyo report wewe au ww ndio wasema.
 
kwani mleta uzi amesema vanessa ndio kasema?au uelewa ndio shida
Unawezekana ukajua kusoma lakini husielewe kimeandikwa nini, hao mashabiki ila mimi nilikuwa nakuomba uhighlight sehemu ambayo Vanessa kasema kwamba WCB wanapeendelewa, manake nimesoma sijaona sehemu ambayo Vanessa kawataja WCB kama ulivyo report wewe au ww ndio wasema.
 
UBINAFSI wa wasanii ndio kifo chao na kunyanyaswa, leo Vanessa Mdee anasema kuhusu Trace Muziki, lakin hawezi sema kuhusu vituo vya ndani pia, Wasanii wangekuwa na sauti ya pamoja kukataa uonevu mambo yangekuwa sawa sana.
 
Huu ndio ujinga wa wasanii wetu wao wanachojua ni kulia lia tuu na kulaumu watu kipindi mambo yao yanapo kwenda kombo...
Kwanini asitwambie ni wakina nani wanapendelewa? Lazima wasanii wakubali kuwa sio kila muda watakuwa wao.
 
Wewe unaakili kweli?shule ulienda kusindikiza wenzio? Kabla hata Vanessa hajasema hayo Kama unafutilia Trace muziki huwezi andika ujinga ulioandika
Kwenye page zao hata mashabiki wamekuwa wakicomment
Siku nyingine acha kukurupuka kabla hujafanya tafiti
View attachment 967938View attachment 967939
naona bado unatapa tapa inaonyesha kichwan una matope..hao walio comment hapo ni wapumbavu wenzio nataka unionyeshe wapi vanesa amewataja wcb wanapendelewa..
 
Back
Top Bottom