Vanessa Mdee alalamika TraceMiziki wana upendeleo

Vanessa Mdee alalamika TraceMiziki wana upendeleo

Uyo si alikua anajifanya ana connection na watu wa BET sijui ni jaji gani kwenye awards fulani...
Mara anajidai kazaliwa mbele so ana connections kibao..

Tukajua labda angekua levo zingine kumbe hamna kitu...
 
Msanii nyota wa bongo fleva Vanessa Mdee wamewachana kituo Cha muziki Cha Muziki kwa kusema kimekuwa na upendeleo kwa muda mrefu kwa baadhi ya wasanii.Msanii Bilnass nae alimuunga mkono Vanessa kwa kusema hakumbuki yeye ni lini nyimbo yake ilipigwa kituoni hapo.
TraceMuziki ni kituo kilichopo nchini Kenya kilianzishwa kwa ajili ya musiki wa Africa mashariki, ni tawi la kituo kikubwa Cha Trace Urban.
Kimekuwa na minong'ono kwa kutuo hicho kupendelea wasanii wa WCB katika playlist zao za Kila siku
View attachment 967887View attachment 967888
Mwambie aendelee na clouds fm , kama amechukia sana afungue radio yake
 
ILA ni kweli trace muziki wanawapendelea wcb nshajiulizaga but as long as wcb ni wa tz fleshi tuu lkn sio poa sabab wcb hawako pekeyao!!
hata BBC Swahili habari za msanii ni diamond pekee
pia niwaambie BBC swahili kua diamond sio msanii pekee eastAfrica!!
but sifikirii kama tracemuziki ndio tv station inaoongoza kuangaliwa hapa ea:
 
Back
Top Bottom