Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Watalalamika wakati wengine wanapiga kazi. Diamond ni balozi wa Samsung na WCB 95% wanatumia Samsung.Balozi wa Samsung anatweet publicly kwa iPhone, hapa ndo waafrika hua tunafeli vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watalalamika wakati wengine wanapiga kazi. Diamond ni balozi wa Samsung na WCB 95% wanatumia Samsung.Balozi wa Samsung anatweet publicly kwa iPhone, hapa ndo waafrika hua tunafeli vibaya
Mwambie aendelee na clouds fm , kama amechukia sana afungue radio yakeMsanii nyota wa bongo fleva Vanessa Mdee wamewachana kituo Cha muziki Cha Muziki kwa kusema kimekuwa na upendeleo kwa muda mrefu kwa baadhi ya wasanii.Msanii Bilnass nae alimuunga mkono Vanessa kwa kusema hakumbuki yeye ni lini nyimbo yake ilipigwa kituoni hapo.
TraceMuziki ni kituo kilichopo nchini Kenya kilianzishwa kwa ajili ya musiki wa Africa mashariki, ni tawi la kituo kikubwa Cha Trace Urban.
Kimekuwa na minong'ono kwa kutuo hicho kupendelea wasanii wa WCB katika playlist zao za Kila siku
View attachment 967887View attachment 967888