Vanessa Mdee apewa dhamana, baada ya kusota kwa siku 14

Vanessa Mdee apewa dhamana, baada ya kusota kwa siku 14

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Baada ya kushikiliwa na polisi kwa takriban siku 4, Vanessa Mdee ameachiwa kwa dhamana Jumatatu hii.
Vanessa ambaye alishikiliwa muda mfupi baada ya kurejea kutoka Afrika Kusini ni miongoni mwa mastaa waliotajwa kwenye orodha ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutokana kuhusishwa na matumizi na biashara ya dawa za kulevya.
Vanessa atatakiwa kuripoti tena Central Jumatano (kesho)

76247033-1f3a-49ee-8c5c-45d2a4b04c03.jpg


Inadaiwa kuwa Vee anatetewa na mwanasheria maarufu, Peter Kibatala.

Watu wengi wakiwemo mastaa nchini walikuwa wakimtetea kutaka kuachiwa huru kutokana na kile wanachoamini kuwa anaonewa.
 
hivi ni kwanini wanawake wanaokuwa na mahusiano na Juma huwa wanapatwa na skendo za madawa??? alianza jack now vanessa..Pole vee
 
Yeye ndiyo ajuaye kama anauza na kutumia ila daaaah.... imeniuma kuwekwa ndani
 
hivi ni kwanini wanawake wanaokuwa na mahusiano na Juma huwa wanapatwa na skendo za madawa??? alianza jack now vanessa..Pole vee
sababu mama yake Jux ni papa kubwa sana la madawa ya kulevya..ni matajiri sana kwao..uliza waliosoma naye Essacs enzi za kina Cyril,one the incredible inajulikana utajiri wa kina jux ni issues gani
 
Mie niliumia wakati Wema aliposekwa ndani, ila kwa Vanesa sijaguswa hata....sijui kwa nini?
 
Vanessa hastahili pole yeyote, inabidi aachane na Jux tu. Yule jamaa atamsambaratisha kama alivyosambaratishwa yule demu Jacky Cliff huko China. Yaani mtu unachanganikiwa na dushelele mpaka hujitambui? Nduguze Vanessa, muokoeni ndugu yenu....Jux anamtumia tu na kumlisha madawa mpaka anaonekana kakomaa shinda umri wake.
 
Vanesa jifunze kusitiri maungo yako. Ndio maana sijakuonea Huruma. Ukiwa jukwaani utadhani uko pale Ambience Club iliyopigwa kufuli siku hizi.
 
Back
Top Bottom