wimbo mfupi yaani kama verse moja ya stamina''hamjui tu nye ndo alichonifunza mama''
yaani hapo wimbo umerekodiwa kila kitu,mziki umekuwa mrahisi siku hizi.
Hilo tangazo labda kala mkwanja mrefu.
Ni kama MMG and Diddy wanavyoingiza pesa kwenye Ciroc,inabidi ikichezwa hiyo video kwa hapa kwetu Crown paints walipie sekunde zote zinazoonekana bidhaa zao kama hawalipi inabidi producer wa vipindi waweke faint/blur