kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,829
tumeona wasanii wengi tu hata huko ulaya na marekani wakiwa wanatangaza bidhaa kwenye video zao,
km vile simu, headphones na cameras lakini kwa hii ya Vanessa ni too much,
imeharibu video nzima kwa ujumla,unless aseme video itakuja hili ni tangazo tu.
km vile simu, headphones na cameras lakini kwa hii ya Vanessa ni too much,
imeharibu video nzima kwa ujumla,unless aseme video itakuja hili ni tangazo tu.
Last edited by a moderator: