Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Sa kumbe watu mnajua mambo kibao mnatuzingua tu humu ndani!!fungukeni ndugu zetu wapone
Nakupa Home work mkuu....jaribu kumchunguza Vanessa labda pengine ndio alivyo maana simjui sana in Personal ila mcheki sana alivyo mchangamfu alafu angalia kwa Elimu yake na urembo wake anastahili kuwa vile?!Nimekuelewa kabisa mkuu na asante kwa maelezo zaidi.
Nisichokubaliana na wewe ni huo uchangamfu unaosema wewe.
ikowaziHilo jina kapuni nalitamani maana anayetoka naye kimapenzi anajulikana labda kama anao wengi.
Mhh, ina maana Jux anapata shida sana??!!Sasa yule fidodido jamani kama ni kweli huu unga nao uwe na huruma pale utakula nini huo unga ? maana minofu mpaka umulike na microscope ndio unatuona tunyama
Unataka kumpelekea?!Ivi kingkiba habwii unga
huo unga wa daraja la kwanza unao uongelea,ndio ule unaotumiwa na yule mfadhili wa timu moja ya mpira wa miguu, maarufu na kongwe sana hapa Tz.Duuuuhh aisee! [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Asante malkia wa ubuyu..
Ujue huu unga daraja la kwanza ni Cocaine ile yenyewe pure.. Hawa akina Chidi Benz & Co wanatumia crack cocaine au heroin..
Wajameni mi vifupa vyake v8nanitoaga udenda kwa kweli!Duuuuh na huo mwili wke kma Daz Baba si itakua kituko...... Vanessa uzungu pori mwingi sana kupiga picha n kyupi wakati afya yenyewe kma Betina.
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji40]huo unga wa daraja la kwanza unao uongelea,ndio ule unaotumiwa na yule mfadhili wa timu moja ya mpira wa miguu, maarufu na kongwe sana hapa Tz.
weka mbali na watoto mkuu.
Hakuna unga mzuri.! But Cocaine ina afadhali, coz advantage yake moja wapo mtumiaji hapati addiction kwa haraka labda atumie miaka mingi.. Hii ndio itakuwa anatumia Vanessa (kama kweli anatumia) na Sepetunga..Kwa hiyo unga wa daraja la juu ndio mzuri??
mzuri, msafi, mtamu na unaleta stimu jaribu uoneKwa hiyo unga wa daraja la juu ndio mzuri??
Ni kweli ni muziki lakini kuna miziki ambayo haina utukufu wa Mungu...na miziki hiyo ipo wazi pale waimbaji wanapopandisha mizuka yao na kuonesha ni Mungu wa aina gani wanamtukuza. Kwa mfano Ala za Zumari ni tofauti kabisa na Ala ambazo Rose Muhando anazitumia...Nyimbo za daudi zilikuwa na Instrument moja tu na sauti haya fanya mixing mwenyewe uone kama utapa mizuka ya Rosw Muhando hapo!Daudi alikua mpiga kinubi/zumari. Elizabeth alimuimbia Maria alipotembelewa nae. 'Wimbo' ulio bora wa Suleiman ni muziki/mashairi. Kwaya na kaswida ni muziki.
Umechemka mjomba.
Kwa kweli bonge la homework mkuu. Lol.Nakupa Home work mkuu....jaribu kumchunguza Vanessa labda pengine ndio alivyo maana simjui sana in Personal ila mcheki sana alivyo mchangamfu alafu angalia kwa Elimu yake na urembo wake anastahili kuwa vile?!
Sababu serikali imewapa Uhuru na wala haiwafatilii,yenyewe imejikita zaidi kwa vyama pinzani na wanaoikosoa,kama ingekuwa na uchungu na nguvu kazi inayoangamia kwa hayo madawa nadhani tatizo lingeanza kupungua kwa kasiYule msanii nyota anayejitahidi kujimarket kimataifa, Vanessa Mdee amedaiwa kujitumbukiza katika matumizi ya madawa ya kulevya aina ya Heroin.
Vanessa anadaiwa kuanza kusniff baada ya kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake (jina kapuni) anayedaiwa kujihusisha na kuuza madawa hayo nchini China.
Hili wimbi la wasanii kujitumbukiza katika kujidunga madawa ya kulevya linaonekana kushika kasi sana nchini Tanzania huku sababu haswa ikikosekana.