sumer
JF-Expert Member
- Oct 29, 2016
- 344
- 229
Hiv hawafahamian na jux na jux si china anaendaga na demu wa jux si alikamatwa china kwa sembe jumlisha toa jibuamekanusha kwenye Instagram yake eti usnich na mleta Uzi kakuona mbea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv hawafahamian na jux na jux si china anaendaga na demu wa jux si alikamatwa china kwa sembe jumlisha toa jibuamekanusha kwenye Instagram yake eti usnich na mleta Uzi kakuona mbea
Upo sawaJe, unajua kama mpenzi wake ni dealer kwenye hiyo biashara?
Mkuu ukiwa unauza sigara kuna baadhi ya wateja watakwambia niwashie.
Labda anakuwaga kwenye kitengo cha kutest ubora!
Hakuna kitu kama hicho, Vanessa hatumii...
Mjini kuna mambo lakini JF ni Zaidi.Ben po alishauriwa ila alikuwa muoga nlibahatika kupata story kwamtu wake wa karibu akanambia analalamika anafanya mziki mzuri na unasikika ila mafanikio si kama wengine alivyofatilia akaambiwa mchongo sembe ila alikataa nahisi anajishauri ila anajua mchongo.tuwaangalie sana hawa wanao hiti maana naskia ukikataa dili ba mzik kushney.
xuJHilo jina kapuni nalitamani maana anayetoka naye kimapenzi anajulikana labda kama anao wengi.
uko sahihi kabisa mkuu,yale ndo yanaitwa mawenge sasa.mtu anakuwa hatulii kama vile ana kipisi cha m.boo matak**ni,yule unga anabugiaakiimba mziki huwa nahisi ubongo wake umetulia. ila ukimuweka one to one interview, huwa sielewi kama ubongo wake upo mguuni au usoni. anasambaratika, anajifanya mmarekani, anajifanya amesoma kenya halafu anaongea kama mtu ambaye hana elimu kichwani kabisa, anajifanya yuko juuuuuuuu halafu hana point kabisa. hata kina dangote wasioenda shule huwa wanaongea mambo yenye akili na point sana, yeye hana point kama le mwiliz. alihojiwa siku moja na kituo cha tv kenya, anatia aibu tu, kwa umri wake haongei point, kama mlevi...ni kama mtu mwenye mapepeeeeeee na mwenye akili isiyotulia. hivyo hata kama havuti, hakika mimi wakisema anavuta hata kama sio kweli, ninaweza kuamini asilimia tisini. mapepe yale sio ya mtu mwenye akili ya kawaida....na kujifanya mmarekani. sijui hana washauri au ni pepe liko ndani yake hajipendei ? sijui ni nini? hatamanishi kusikiliza kabisa akiwa kwenye interview.
Ila jux Nina mashaka nae.mana jack alikamatwa kwa madawa na Vanessa nae anashutumiwa kujihusisha na madawa.jux vepee baba wew je?Ukiolewa na jambazi ukubali kuwa na wewe jambazi maana kama mimi nashangaa kutajwa Vanessa ila jux hajatajwa