Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

Je, unajua kama mpenzi wake ni dealer kwenye hiyo biashara?

Mkuu ukiwa unauza sigara kuna baadhi ya wateja watakwambia niwashie.

Labda anakuwaga kwenye kitengo cha kutest ubora!
Upo sawa
 
Hakuna kitu kama hicho, Vanessa hatumii...


ashanaswa hata chid benz alianza kwa kukataa na kutetewa starehe ikikuzidia unaanza kuyafuata kinondoni manyanya ray c alikuwa anababuliwa na mapusha kwa kete tatu tu nyuma ya kinondoni mahakamani ukiweza kumnunulia uliobora anakuona mungu mtu
 
Mjini kuna mambo lakini JF ni Zaidi.
 
Hivi ugoro, kuberi, na chivu mchanganyo huo nao ni madawa ya kulevya nikikamatwa nakunywa navuta inakuaje
 
uko sahihi kabisa mkuu,yale ndo yanaitwa mawenge sasa.mtu anakuwa hatulii kama vile ana kipisi cha m.boo matak**ni,yule unga anabugia
 
Tatizo LA watanzania ndio hili, kikitamkwa kitu huwaga Hatunaga muda wa kupima Bali ubongo wetu huling'amua Kama lilivyo, cjui nani katuloga! We need to change dear friends!
Hii kesi ya watu wanaotumia mihadarati haijaanza Leo ,lkn kinachonishtua n kuona watz wengi wakiona Kama ndo news inayotrend na kweli kuwa waliotajwa wanahusika kwa namna moja ama nyingine, Kwan kuitwa polisi n kuwa guilty? Tuacheni kudandia meli majini!
 
Ukiolewa na jambazi ukubali kuwa na wewe jambazi maana kama mimi nashangaa kutajwa Vanessa ila jux hajatajwa
Ila jux Nina mashaka nae.mana jack alikamatwa kwa madawa na Vanessa nae anashutumiwa kujihusisha na madawa.jux vepee baba wew je?
Ebu tusubirie vmoney akienda kuhohiwa inawezekana akamtaja bwanake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…