Vanessa Mdee ndio msanii bora wa kike kwa sasa, Jide kakabidhi kijiti rasmi

Vanessa Mdee ndio msanii bora wa kike kwa sasa, Jide kakabidhi kijiti rasmi

Nikupeleke mpulanga talata, sumu kwetu ni talaka, bongo to jos palapa... Nimeuelewa sana wimbo wa kinyamwenga, madude yakuskiza kwenye ndinga yamekuwa hadimu sana bongo thanks kwa vmoney kutupa kitu kikali kama hiki.

Jide aendelee kupiga ramli za kupata mume, atuache kwanza tupate burudani.

Hahahahahahahahahahahahahah
Siongezi wala kupunguza neno zaidi ya kicheko.😀😀😀😀😀:
 
Back
Top Bottom