Nikupeleke mpulanga talata, sumu kwetu ni talaka, bongo to jos palapa... Nimeuelewa sana wimbo wa kinyamwenga, madude yakuskiza kwenye ndinga yamekuwa hadimu sana bongo thanks kwa vmoney kutupa kitu kikali kama hiki.
Jide aendelee kupiga ramli za kupata mume, atuache kwanza tupate burudani.