Vanessa Mdee ni mwanakulitaka na amelipata

Vanessa kazungumza ukweli sana tusioujua kuhusu muziki na maisha ya umaarufu.
Wasanii wengi wanaishi maisha fake, tunayoona kwenye page zao ni maigizo tu.

Mifano ni mingi, ila unaweza ona life anayoonyesha Ommy Dimpoz kwenye page zake haina uhalisia na kipato chake cha mziki.
 
Halafu huyu jamaa aliumwaga hakuomba hata sh kumi ya MTU kujitibia huyu mwamba anayejiita dimpoz
 
Huyu ndo muoaji kweli?[emoji16][emoji16]

Dinazarde
 


Huku sio Insta wala twitter

Unasema kuna wanamuziki wamewekeza na wanafanya biashara zingine

Ni kama unasema alichosema vanessa ni sahihi kuwa MUZIKI haulipi!!

Sasa linpage lizima wakati simple truth una ikwepa la nini???
 
tatizo alileta umarekani mwingi wakati this is africa, hapa ni kweli alifake, kitu ambacho ajui ni kwamba mpaka sasa ivi bado anafake ila ye hajui.
 
Weee dea subiri siku uje ushangae hana hata bajaj, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa wasanii sio wa kuwaamini San, mweeeeeeh
Maana sio kwa show off zile na ana msafara wa magari zaidi ya matatu plus wapambe juu
 
F.A kuwadi wa watt wa gsm?! Kutwa kufata matako ya watt wa kiarabu danganya mtu mwingine
Mkibadili ID muwe mnabadili na tabia zenu za zamani. Baada ya kuona haya matusi na huu uswahili-swahili nikafahamu moja kwa moja wewe ni nani. Usipende kuchafua majina ya watu na acha ubaguzi wa rangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…