Wabongo ndio tulivyo, tunafikiria baba/mama/mjomba au shangazi akiwa tajiri basi sie wote matajiri tuu.hivi kwa umri wa GK ni sahihi kumhusisha na Mali za home kwao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo ndio tulivyo, tunafikiria baba/mama/mjomba au shangazi akiwa tajiri basi sie wote matajiri tuu.hivi kwa umri wa GK ni sahihi kumhusisha na Mali za home kwao?
Halafu huyu jamaa aliumwaga hakuomba hata sh kumi ya MTU kujitibia huyu mwamba anayejiita dimpozVanessa kazungumza ukweli sana tusioujua kuhusu muziki na maisha ya umaarufu.
Wasanii wengi wanaishi maisha fake, tunayoona kwenye page zao ni maigizo tu.
Mifano ni mingi, ila unaweza ona life anayoonyesha Ommy Dimpoz kwenye page zake haina uhalisia na kipato chake cha mziki.
Naona mzee una chuki na Diamond SanaWakiongozwa na domo
Sijasema anategemea nyumbn ila namjua anazo hela ambazo mjini amewekeza zaidi nyumbn mambo n safi .hivi kwa umri wa GK ni sahihi kumhusisha na Mali za home kwao?
Wapi naweza kumsoma Tyson mkuu?Najua ni kama amefufuka upya na sasa anaishi maisha halisi. Anasema hakutegemea kama angefikisha huo umri kwa starehe na magumu aliyopitia.
Huyu ndo muoaji kweli?[emoji16][emoji16]Juzi Vanessa anahojiwa kwa (video call) na machalii wa Clouds+(Izzo biz na mwenzake) khs hizo mambo zake za music,manzi akajieleza fresh then akaulizwa yule chalii ako yupo wapi?
Anaitwa sijui Rotini,Vanessa akasema yuko hapa hapa chumbani then akamwambia huyo jamaa hebu niambie maneno ya kiswahili niliyokufundisha jamaa akamjibu MAMBO na neno jingine ni lipi? likajibu KUJAMBA,hahah clouds wakaona sijui huu ni ungese naona wakamtoa hewani na wala hawakum discuss tena na upuuzi wake.
Wanaume wa dar ndo walivyohivi kwa umri wa GK ni sahihi kumhusisha na Mali za home kwao?
Pale mtu ambae hajawahi kua mwanamuziki maisha yake yote anamuelekeza mwanamuziki how it feels like to walk on a musician shoes!
By Sangu Joseph
.
Kwanza kabla ya yote nieleze masikitiko yangu na kuonesha kuhuzunishwa kwangu, na mambo aliyoyasema Dada na Msanii wetu Vanessa Mdee juu ya namna ambavyo wasanii wakike wanahaha ili kukidhi mahitaji Yao, Pole Sana.
VMoney tumeona malalamiko yake akidai Kwamba mziki wa ni biashara ambayo haina faida hasa kwake kila siku anafanya kilekile, Japo sijui alimaanisha mafanikio gani.
.
VMoney anasema alikuwa akifake Maisha, akitumia gharama kubwa Sana lakini kinachorudi ni Kidogo, hakuna ambaye alimlazimisha Vanessa aishi Maisha ambayo ni tofauti na uhalisia wake ni yeye aliamua kuishi hivyo kutokana na Brand aliyokuwa nayo kama Msanii kama ilikuwa na gharama angeishi kawaida, bado angebaki kuwa VMoney.
VMoney anasema mziki hauna faida, ikumbukwe V amefanya muziki Kwa zaidi ya miaka 7, hapo katikati amepata Deals (DOFFI, EAGT Universal NK), ameanzisha Lebo ya Mdee Music aliyomsaini mdogo wake MimMars na Msanii wake anafanya muziki mzuri, VMoney pia alianzisha Love & Money Tour ambayo alifanya katika baadhi ya mikoa Bongo, ameshiriki kwenye tuzo nyingi sana za nje ya nchi MTV, AFRIMMA NK.
VMoney anasema mziki ulikuwa haumlipi inanikumbusha wale watu waliokuwa wakimlalamikia Marehemu Boss Ruge kusababisha wao kukwama kimaisha nakumbuka wakati mmoja akijibu madai hayo alisema tatizo wasanii wetu huwa hawajiandai Maisha baada ya muziki, akisema Maisha ya muziki ni kama kusoma kitabu ukishasomwa na Mashabiki unawekwa Pembeni anasomwa mwingine hivyo wanasahau kila siku vipaji vipya vinatoka na mashabiki wanataka wapya sasa hichi ndiyo kilimkuta VMoney navyodhani Mimi na asilalamikie Tasnia ajilaumu mwenyewe.
.
Inaonesha licha ya Exposure alizopata lakini alifanya muziki bila malengo (Hana Direction) angekuwa na malengo Kwa aliyoyafanya 2015 - 2019 nadhani sasa asingekuwa mtu wa kulialia.
Ukimsikiliza VMoney unagundua kuwa alijua atafanya muziki maisha yote hivyo hakuwekeza kwenye kitu chochote nje ya muziki, wakati angeweza kutumia muziki kuwekeza kwingine (Diamond, Jux, Shilole nk wamefanya) Yaani V ameshindwa hata kufungua Duka la heleni kupitia muziki.
Shishi Baby huyu Msanii na Mama Ntilie mbona hatujawahi msikia akilialia kuhusu muziki wa wanawake ni kwa sababu alijua anatafuta nini kwenye mziki ndiyo maana alipopata mara moja tu akaja na Shishi Food na inamuingizia Pesa bila kudanganya, Komando Jide kapambana sana mpaka bado yupo hajawahi kuliakulia.
.
Mimi kwangu Vanessa ni Mwanakulitaka Mwakulipata nadhani kuanguka kwake kimuziki nilianza kupaona pale alipoanzaga kutengeneza Kiki na Shilole wakagombana Kwa Kingereza baadaye wakasema ilikuwa Maigizo Tu.
Navyodhani Mimi Sangu J Kwa sasa VMoney amepata tulizo Tu la Moyo Kwa Shemeji Rotim baada ya kutengana na Mtanzania Mwenzetu na amefanya maamuzi ya kuzungumza akiwa na furaha sana hivyo tumuache wakati furaha ikiwa Standard atarudi kawaida Tu Kwa sasa tumuache.
Kilichonifanya niandike Haya ni kwasababu Maneno yake nimeona yanawavunja Moyo wasanii wengi hasa chipukizi na waliopo kwenye Industry , haiwezekani watu wanapambana wewe unawaambia huwa Mnafake hii kwangu niliona haijakaa poa Bora angekaa kimya kama alivyofanyaga Japo tulimmiss Sana.
.
FB : Insta : Twit : Sangu Joseph
.
#KijanaMzalendo #IloveTZ
Hahah hakuna muoaji hapo ila kuna jamaa mmoja anayeosha Rungu tu hapo boss.
Maana sio kwa show off zile na ana msafara wa magari zaidi ya matatu plus wapambe juuWeee dea subiri siku uje ushangae hana hata bajaj, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa wasanii sio wa kuwaamini San, mweeeeeeh
Achana nao mbona Mo hawamshangaiSijasema anategemea nyumbn ila namjua anazo hela ambazo mjini amewekeza zaidi nyumbn mambo n safi .
Yaani V ameshindwa hata kufungua Duka la heleni kupitia muziki.
[emoji16][emoji16]Humpendi tu Rotim
Mi namuona yupo poa tu
Mkibadili ID muwe mnabadili na tabia zenu za zamani. Baada ya kuona haya matusi na huu uswahili-swahili nikafahamu moja kwa moja wewe ni nani. Usipende kuchafua majina ya watu na acha ubaguzi wa rangi.F.A kuwadi wa watt wa gsm?! Kutwa kufata matako ya watt wa kiarabu danganya mtu mwingine
[emoji16][emoji16]