Show off hiyo dea, japo anaweza kuwa na hayo magari.Maana sio kwa show off zile na ana msafara wa magari zaidi ya matatu plus wapambe juu
[emoji38] mtaazmo wako, mwandiko usome tu ukiona uswahili hautoshi nibandike na kabila lakoMkibadili ID muwe mnabadili na tabia zenu za zamani. Baada ya kuona haya matusi na huu uswahili-swahili nikafahamu moja kwa moja wewe ni nani. Usipende kuchafua majina ya watu na acha ubaguzi wa rangi.
Mkuu Goddess I used to think that you are an exceptionally Intelligent person, that you can see things beyond an average person: Huu uswahili-swahili na hizi chuki they don't really suit you, hebu badilika. This is an honest advice from a person who once respected you. But again you can choose to ignore it and be stiff necked, after all it's a free world and I'm not your daddy to patronize you.[emoji38] mtaazmo wako, mwandiko usome tu ukiona uswahili hautoshi nibandike na kabila lako
Na uache kukariri, kama ulibadili id kuficha ujinga wako ni ww
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] kabisaaaahyaan mim mwanaume niwe karibu muda wote tunasafiri wote mara nyingi
Muda mwingi nipo nalala nae naamka mi hapo napendwa kabisa
ukiwa humpendi mtu hutaki awe karibu nawe kabisaa
Kabisaa mkuu...!! Eti anaendelea kuimba mziki ila hataki kuwa part ya Industry si ungesee huootatizo alileta umarekani mwingi wakati this is africa, hapa ni kweli alifake, kitu ambacho ajui ni kwamba mpaka sasa ivi bado anafake ila ye hajui.
Watu bana hawajui mabilionea wengi wamerithi mali na vitu vya nyumbani na kuviendelezaAchana nao mbona Mo hawamshangai
Na kuhusu Vanessa kweny maisha hawezi kuyumba, pesa anazo na nyingi tyuuh, hapa anawahadaa mashabiki wawe wapolee ili yeye aendelee kula good time na Rotimiiii, ila [emoji445] hawezi kuacha kamweeeeh.Vanessa ni hustler kitambo tu hata hajaanza mziki,huyo shishi kama humjui si msanii kama unavyodhani yule ni malaya tu anayetumia mziki kama matangazo ya biashara yake ya ukahaba
Dogo mziki wa kibongo hauna hela kama unavyodhani..ndo maana wengi wao wana maisha magumu na kuishia kuwa punda wa mizigo ya madawa ya kulevya. ...hao wasanii wa kike kwenye tasnia ya muziki wanato*mbeka bwana weee acha..
Daily watu wanakuaga kwenye matako au makalio ya watu kutafuta pesa sasa kama wewe haupo kwenye Makalio ya Boss/Partners wako au wateja wako kutwa kuitafuta hiyo pesa basi utakuwa ni wa dizaini nyingine na ndo maana ni rahisi kuona wengine wapo kwenye makalio wewe ni mtazamaji tu mwenye chuki zako unajikuta super power nguvu ya mtu mmoja pesa yako unaitoa kwenye matako yako straight? tujue kwamba kuna wenye maajabu? Uwekwe kwenye Guinness chap tuuu.kuwadi wa watt wa gsm?! Kutwa kufata matako ya watt wa kiarabu danganya mtu mwingine
Mawazo yanadumaza fikraWatu bana hawajui mabilionea wengi wamerithi mali na vitu vya nyumbani na kuviendeleza
Manji, Rostam, Mo Dewji
Hii ni kweli kabisayaan mim mwanaume niwe karibu muda wote tunasafiri wote mara nyingi
Muda mwingi nipo nalala nae naamka mi hapo napendwa kabisa
ukiwa humpendi mtu hutaki awe karibu nawe kabisaa
Angekua yupo vizuri asingeenda kudhalilishwa KilimanjaroJux mtoto wa kishua sio marioo
Bi mkubwa wake inasemekana yupo vizuri
Coaster my Foot!No 5 nasikia wanasema yuko vizuri sana kiuchumi, amewekeza kwenye sekta ya usafirishaji Dar ana Coaster nyingi tu