Vanessa Mdee ni mwanakulitaka na amelipata

Vanessa Mdee ni mwanakulitaka na amelipata

Mkibadili ID muwe mnabadili na tabia zenu za zamani. Baada ya kuona haya matusi na huu uswahili-swahili nikafahamu moja kwa moja wewe ni nani. Usipende kuchafua majina ya watu na acha ubaguzi wa rangi.
[emoji38] mtaazmo wako, mwandiko usome tu ukiona uswahili hautoshi nibandike na kabila lako

Na uache kukariri, kama ulibadili id kuficha ujinga wako ni ww
 
[emoji38] mtaazmo wako, mwandiko usome tu ukiona uswahili hautoshi nibandike na kabila lako

Na uache kukariri, kama ulibadili id kuficha ujinga wako ni ww
Mkuu Goddess I used to think that you are an exceptionally Intelligent person, that you can see things beyond an average person: Huu uswahili-swahili na hizi chuki they don't really suit you, hebu badilika. This is an honest advice from a person who once respected you. But again you can choose to ignore it and be stiff necked, after all it's a free world and I'm not your daddy to patronize you.
 
yaan mim mwanaume niwe karibu muda wote tunasafiri wote mara nyingi
Muda mwingi nipo nalala nae naamka mi hapo napendwa kabisa

ukiwa humpendi mtu hutaki awe karibu nawe kabisaa
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] kabisaaaah
 
tatizo alileta umarekani mwingi wakati this is africa, hapa ni kweli alifake, kitu ambacho ajui ni kwamba mpaka sasa ivi bado anafake ila ye hajui.
Kabisaa mkuu...!! Eti anaendelea kuimba mziki ila hataki kuwa part ya Industry si ungesee huoo
 
Tatizo waongo sana. Mtu ana jina kubwa kapanga ila matumizi yake hatari
 
Vanessa ni hustler kitambo tu hata hajaanza mziki,huyo shishi kama humjui si msanii kama unavyodhani yule ni malaya tu anayetumia mziki kama matangazo ya biashara yake ya ukahaba


Dogo mziki wa kibongo hauna hela kama unavyodhani..ndo maana wengi wao wana maisha magumu na kuishia kuwa punda wa mizigo ya madawa ya kulevya. ...hao wasanii wa kike kwenye tasnia ya muziki wanato*mbeka bwana weee acha..
 
Vanessa ni hustler kitambo tu hata hajaanza mziki,huyo shishi kama humjui si msanii kama unavyodhani yule ni malaya tu anayetumia mziki kama matangazo ya biashara yake ya ukahaba


Dogo mziki wa kibongo hauna hela kama unavyodhani..ndo maana wengi wao wana maisha magumu na kuishia kuwa punda wa mizigo ya madawa ya kulevya. ...hao wasanii wa kike kwenye tasnia ya muziki wanato*mbeka bwana weee acha..
Na kuhusu Vanessa kweny maisha hawezi kuyumba, pesa anazo na nyingi tyuuh, hapa anawahadaa mashabiki wawe wapolee ili yeye aendelee kula good time na Rotimiiii, ila [emoji445] hawezi kuacha kamweeeeh.
 
kuwadi wa watt wa gsm?! Kutwa kufata matako ya watt wa kiarabu danganya mtu mwingine
Daily watu wanakuaga kwenye matako au makalio ya watu kutafuta pesa sasa kama wewe haupo kwenye Makalio ya Boss/Partners wako au wateja wako kutwa kuitafuta hiyo pesa basi utakuwa ni wa dizaini nyingine na ndo maana ni rahisi kuona wengine wapo kwenye makalio wewe ni mtazamaji tu mwenye chuki zako unajikuta super power nguvu ya mtu mmoja pesa yako unaitoa kwenye matako yako straight? tujue kwamba kuna wenye maajabu? Uwekwe kwenye Guinness chap tuuu.
 
Mimi nahisi nimemuelewa Vanessa kitofauti
Ameongelea maswala ya
Depression na mental health na pia ameongelea maswala ya life style ya kisanii sio normal life style.

Na kuacha mziki amekanusha kwamba hatawaacha mashabiki kabisa Ila atakua na interval ya kutoa nyimbo hivyo tunaweza ona she keep on singing Kama hobby lakini si kitu kinachomuweka mjini.

Ameongelea pia kuhusu kupata mkataba na kampuni ya kimarekani inayosimamia kuhusu postcards zake hayo pia kwake Ni mafanikio.

Nimeona watu wengi wamekomaa na yeye kuacha muziki pamoja na maisha yake ya kimahusiano
Inabidi watu tutambue kuhusu umuhimu wa kujichagua kuliko kuchaguliwa na hili ndilo alilofanya Vanessa Mdee.
Tunaona watu wengi tuna stress na depression kuanzia majumbani, makazini, kwenye biashara na sehemu nyingi Sana na inatokea tunaweka uchaguzi usio wetu ili kuendelea na maisha lakini deep down unajua kabisa unafanya tu kwasabababu ndicho kinachokuweka mjini au kinachofanya watu wakutambue.

Hivyo Basi, instead ya kupondea maamuzi ya Vannesa na kuhisi labda Rotimi Ana uhusiano wa kumfanya Vee afikie hapo hebu tuone kwamba hii ni hatua yake moja kuelekea kwenye mafanikio mengine katika lengo lingine
Inawezekana akaja kua balozi mzuri wa Mambo ya mental health na depression kwenye music industry Tanzania.
Au labda akawa mhamasishaji mzuri wa kuchagua kile kinachompa mtu utu zaidi.
Mimi ninaamini Kama alivyoweza kuhama kwenye utangazaji na kuhamia kwenye music ndivyo anavyoweza kuhama kutoka kwenye music akahamia ulimwengu mwingine na kuleta mabadiliko chanya.
Watz tujifunze kuwa positive duuh!!
 
Mm pia nililiwaza hili suala nikaona huyu binti alilitafuta mwenyew, kwan alikuwa na ulazima gn wa kuishi maisha siyo yake!!? Kutuvalia mabrazillian hair na maisha ya gharama what for?! Ila nampa pole kwa yote
 
huwezi kujaji industry nzima haina hela kisa we ulikuwa hupati hela, mziki sio kitu chake, wenye kipaji cha kweli wanaenjoy kufanya mziki wao bila kujali hata faida wanayo pata, mguu ndani mguu nje atajaribu jaribu milango mingi sana
 
Back
Top Bottom