Acheni hizo ligi ndogo jamaniWimbo mkali... Nyimbo za wananchi halafu imepigwa kideo cha kimataifa... Sijui nani kamshauri kufanya huu mchanganyiko Vanessa maana anaua ndege wawili kwa jiwe moja na atafaulu sana.... Trend mpya imeingia Mbibo ajipange.
Jide atabaki kuwa jide tu forever....Vee money pia ni mkali ila yupo ki international zaidi hana ladha ya kibongo, hana tofauti na kina beyonceNyimbo kali kibibi (jide) kijipange la sivyo kitahadhirishwa na vitoto.
nimecheka mpaka basi mwanangu wa miaka 4 anaupenda kishenzi ss anavyocheza ni shidaWimbo mkali ni ule unaimba,"kamata chini ooh kamatia chini oooh kamata chini ooh kamatia chini......"
maana naona hadi vitoto vya miaka 3 vinaimba huu mziki
Wimbo mkali ni ule unaimba,"kamata chini ooh kamatia chini oooh kamata chini ooh kamatia chini......"
maana naona hadi vitoto vya miaka 3 vinaimba huu mziki
Kana uzungu mwingi sana,natena akiwa anahojiwa ndio kinaboa balaa kipunguze uzungu.nymbo ya kawaida sanaa sema video ndo kali,,af vee anamkopi sana beyonce
Mkuu weka akiba ya maneno Vanessa amejuka kumlaza tena Anaconda. Trust me kashamzika mpaka sasa.Habali ya mjini ni ndindii ndindii hao wengine ni waigizaji tu
nymbo ya kawaida sanaa sema video ndo kali,,af vee anamkopi sana beyonce
Una unavyoropokwa sasa, komando kaingiaje sasa[emoji15] [emoji15]Nyimbo kali kibibi (jide) kijipange la sivyo kitahadhirishwa na vitoto.