Vanessa Mdee vs Jokate Mwegelo

Jokate No 1 by Far! " Yesu Akawaambia Ambaye Hajawahi Kutenda Kosa Awe wa Kwanza Kumpiga Mawe,Akainama CHINI Akaandika kwa Mate Alipoinua Macho Yake , akakuta Amebaki PEKE YAKE NA YULE MWANAMKE, aka mwambia Nenda Zako Usitende Dhambi Tena..."
 
jokate hawez kumkuta v money hata robo kwan ata IQ vanessa yuko vizur kushinda huyo jokate huwa hajui kujieleza, nampenda sana v money, namwona mbali sana asipobadilika, keep it up vanessa





Ulisha kutana na Jokate au una mihemko. Au kwasababu Vanessa ana ongea kizungu.Kila mwanadamu ana tofauti na mwenzie.
 



una akili sana.
 
Nawashangaa mnaotumia vyeti kupima uelewa wa mtu...hivi yule alokuwa mmiliki wa facebook ana degree ngapi?

kuna mtoto wa darasa la saba anaweza kukujibia maswali kuliko mwanafunzi wa master...sasa mnaosema Mdee hana akili kisa hana degree are you serious?

Mfano nilimsikiliza penny anahojiwa i was amazed alivyosema aliona kuendelea na A level ni a waste of time kwani alishachungulia madesa ya wenzake waliokuwa huko A level akaona hakuna jipya...unaweza ukawa na vyeti hata 100 lakini kichwani hakuna kitu...
 
The difference is, kidoti ni mzuri.. Ila huyo mwenzie ni kinyago cha nini sijui..
 
Ulisha kutana na Jokate au una mihemko. Au kwasababu Vanessa ana ongea kizungu.Kila mwanadamu ana tofauti na mwenzie.

Ukweli jokate hawezi kujieleza penye ukweli pasemwe tu...anajichekesha tu akiulizwa maswali nmesikiliza na kuona interview zake kibao.
 
Ukweli jokate hawezi kujieleza penye ukweli pasemwe tu...anajichekesha tu akiulizwa maswali nmesikiliza na kuona interview zake kibao.

Nina wasi wasi na elimu yake maana kichwani zero, kakihojiwa kana hangaika ako kama kanataka kuzaa
 
The difference is, kidoti ni mzuri.. Ila huyo mwenzie ni kinyago cha nini sijui..

Kidoti mkali, huyo mwingine mrefu kama ngongoti ana sura kama maiti iliyoangukiwa na roli
 
Nina wasi wasi na elimu yake maana kichwani zero, kakihojiwa kana hangaika ako kama kanataka kuzaa

Dada yule alikua na uwezo mzuri tu tangu alivoanza ukurumbembe uwezo wake wa kufikiri umepungua pia kapoteza heshima yake buree
 
Hivi wakiitwa mademu wazuri na huyo vanesaa atatoka??
Yani ni mbaya kwa kifupi havutii, sura hana, makalio hana.
Labda kuimba ndo kamzidi jokate .
Afu naona kama mmezidi zarau kumlinganisha jokate na vanessa...

Ila vanessa kamzidi uzuri lady jd.
 
jokate amemzidi vanesa kwa umbo la kuvutia, umbo la vanessa limekaa kikomavu mno na wala halina ushirikiano na nguo.

Sio kamzidi kamuacha kwa mbali.
Afu wanadai.uyo vanesa kazaliwa familia ya uwezo wa juu....sasa imagine angekua kazaliwa uswazi angekuaje...

Yani mbaya mbaya tu
 

Ukiona mtu anakwambia A level ni kupoteza muda jua alifeli huyo.

Ndo mana siku izi waliopata div 5 ukiwauliza matokeo yao wanakwambia wanasubia kwenda chuo.

Certificate wanasomaga waliofeli, kubali kataa,
 
Ukiona mtu anakwambia A level ni kupoteza muda jua alifeli huyo.

Ndo mana siku izi waliopata div 5 ukiwauliza matokeo yao wanakwambia wanasubia kwenda chuo.

Certificate wanasomaga waliofeli, kubali kataa,

Yes asilimia nyingi
 
Sio kamzidi kamuacha kwa mbali.
Afu wanadai.uyo vanesa kazaliwa familia ya uwezo wa juu....sasa imagine angekua kazaliwa uswazi angekuaje...

Yani mbaya mbaya tu

Jokate kazaliwa Washington, huyo mwingine cjui kijiji gani
 
kwangu wote wazuri tu wote si wana mbunye navizia mmoja kati yao nikimpata ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…