Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Tena mpumbavYeye mwenyewe mjinga
Teh teh..Degree ya kupigilia pamba amaJux anasoma degree huko china.
Degree kabisa, yuko fresh mbona. Na anaongea kichina safi.Teh teh..Degree ya kupigilia pamba ama
Acha kulala mchana, kuepuka ndoto ngekewa kama hiyoHuyu dada nilishawahi kuota ndoto seriously eti nipo kufunga nae ndoa...! nlishangaa sana, na hyo ilikuja maana kama siku mbili nyuma nlitoka kubishana na washkaji waliosifia wimbo wa never ever, mi nliuponda sana na nakamponda sana mpka yeye mwenyewe, daaah
Ok..Nilikuwa najua ni mzushiDegree kabisa, yuko fresh mbona. Na anaongea kichina safi.
hahahahahah haya bhna, ngoja ntafute mpunga nikang'oe mchuma huo.Acha kulala mchana, kuepuka ndoto ngekewa kama hiyo
Hamna , sio uzushi. Ni mwanangu.. Kama sasa hivi yupo skul.. Likizo ndio anakuja huku kuzingua zingua...Ok..Nilikuwa najua ni mzushi
Nimekusoma bro..Hamna , sio uzushi. Ni mwanangu.. Kama sasa hivi yupo skul.. Likizo ndio anakuja huku kuzingua zingua...