INAUZWA Vanilla Fruits kutoka Morogoro inauzwa

INAUZWA Vanilla Fruits kutoka Morogoro inauzwa

Hili ni zao ambalo ukiibiwa shambani unaweza kuwa chizi. Fikiria baada ya kuchoma milioni 80 waje watu wavune ukute green house safi kabisa.
Sky Eclat Ukiibiwa Unaenda kwa Mshana Jr
Kuna siku moja tupo kilabuni tunashusha komoni na wazee, wakawa wanamwongelea mganga mmoja. Wakasema ukienda kwake hulipi chochote Ila mwizi ndiye atalipia vyote.
 
Kwenye kilimo kuna matapeli sana. unapewa maneno ya motivation unaingi mzigoni ukifika kwenye soko ndo utamu wake utauona. Kuna kampuni ipo njombe inajitangaza inalima vanila wanakwambia wewe nunua tu shamba wao wanakusimamia mpaka kuvuna wewe ukiwa umekaa Dar unakula bata na watakuja kukununua wao kg 1 sh milion 1. Maisha ya kilimo sio rahisi hivyo
Haya matangazo ya kampuni huwa nayasikia, kisha najisemea hiiiiiiiiiiiiii
 
Hili ni zao ambalo ukiibiwa shambani unaweza kuwa chizi. Fikiria baada ya kuchoma milioni 80 waje watu wavune ukute green house safi kabisa.
Unajipanga kwa ajili ya mwakani maana likishaanza kuzaa ni endelevu. Ila hili ndio zao ambalo matunda yakikomaa kama una mzigo mkubwa inabidi uweke walinzi wenye silaha za moto mpaka utakapovona.
 
Back
Top Bottom