VAR haina msaada Tanzania; unazi unaanzia kwa viongozi

VAR haina msaada Tanzania; unazi unaanzia kwa viongozi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yaani nasikiliza. Tv moja ati tunaletewa VAR

Hii VAR inaongozwa na wanadamu na hawa hawa ndio wengine marefa wanaofanya mambo machafu na ya kijinga

Sasa shida sio var shidda inaanzia unazi wa viongozi wanaongoza michezo na.Timu.Kubwa

Kutoka hapo unazi wa marefa na timuzao kubwa jkumbuke refa ndio wa mwisho kama amekuja na matokeo mkononi msahau upuuzi unabaki pale pale.

Sidhani itakuwa msaada sana kwetu. Kkunamarefawanatumwa.Fanya ufanyallo mbasi ishinde ama.Ngaya ishinde hata lwa penalty na hii n oda toka juu

Mwishooo nawatakia mema.Wale.Mnaoamini. Miujiza na var yetu maxho
 
Yaani nasikiliza. Tv moja ati tunaletewa VAR

Hii VAR inaongozwa na wanadamu na hawa hawa ndio wengine marefa wanaofanya mambo machafu na ya kijinga

Sasa shida sio var shidda inaanzia unazi wa viongozi wanaongoza michezo na.Timu.Kubwa

Kutoka hapo unazi wa marefa na timuzao kubwa jkumbuke refa ndio wa mwisho kama amekuja na matokeo mkononi msahau upuuzi unabaki pale pale.

Sidhani itakuwa msaada sana kwetu. Kkunamarefawanatumwa.Fanya ufanyallo mbasi ishinde ama.Ngaya ishinde hata lwa penalty na hii n oda toka juu

Mwishooo nawatakia mema.Wale.Mnaoamini. Miujiza na var yetu maxho
VAR ni Mahakama ya Wazi. Hata Kama watavuruga maamuzi lakini wote tutakuwa tumeona ujinga wao. Sasa hivi wakiharibu wanatoa kisingizio cha kutokuwepo VAR, ikiwepo watasingizia nini?
 
Back
Top Bottom