Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Waamuzi wana makosa mengi sana
Kuna muda unaweza hisi kuna maelekezo kutoka sehemu
Ligi yetu imekua makosa ya kibinadamu yamekuwa mengi sana, VAR ni muhimu
Kuna muda unaweza hisi kuna maelekezo kutoka sehemu
Ligi yetu imekua makosa ya kibinadamu yamekuwa mengi sana, VAR ni muhimu