crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
Wanajamvi nahisi tumemisi kitu katika jukwaa hili na ningependekeza ule uzi wa VAR ya JF wa mkuu mfilisti nadhani utakuja na mambo matamu baada ya kukaa kimya
Nawasilisha na karibuni.
Nawasilisha na karibuni.