VAR yawapa away goal kaizer chiefs vs waydad.. caf champions league semi final

VAR yawapa away goal kaizer chiefs vs waydad.. caf champions league semi final

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Muhuni kaizer chiefs.

Anaongoza 1-0 ugenini morocco.. thanks to Var technology... kuanzia semi final caf wanaeka var kumbe

Huyu muhuni baada ya kumuotea simba leo anaendeleza bahati yake ugenini
 
Kaizer sio timu ya kuichukulia poa inacheza kwa determination kulingana na mech husika haichez chez TU

N mpumbavu tu anayewaza kuwa kaizer chief wanangekewa

Kaizer kwa simba mbona walikuwa mlenda sana.. ama sababu ni jua la dar? Ama sababu walipuliziwa dawa chumbani?
 
Kaizer kwa simba mbona walikuwa mlenda sana.. ama sababu ni jua la dar? Ama sababu walipuliziwa dawa chumbani?
Hali ya hewa ya jiji la dsm ni changamoto kubwa kwa timu nyingi.....
Wanautopolo ni hivi Namungo mechi zake zote za group stage(home) kachezea Dar (Mkapa stadium) na zote kafungwa .Simba akishinda hapo kwa Mkapa mnasema ni joto au dawa.Kweli luc akukosea nyinyi ni zaidi ya utopolo.
 
Kaizer kwa simba mbona walikuwa mlenda sana.. ama sababu ni jua la dar? Ama sababu walipuliziwa dawa chumbani?
Hivi kwanini kila timu za nchi nyingine inapokuja Dar es salaam kucheza na Simba zinashindwa hata kutuliza mipira, wanakuwa wazito uwanjani kama vile wamebebeshwa mawe miguuni?
Tumeona jinsi Al Ahly walivyofanyiwa mpaka tukahisi hiii Simba itaenda kumtandika msudan goli saba huko Sudan ila wakarudi kwenye usimba wao huko Sudan. Kaizer chief wamewawahi kwa mpiira mikakati kama wafanyavyo Simba
 
Wanautopolo ni hivi Namungo mechi zake zote za group stage(home) kachezea Dar (Mkapa stadium) na zote kafungwa .Simba akishinda hapo kwa Mkapa mnasema ni joto au dawa.Kweli luc akukosea nyinyi ni zaidi ya utopolo.
Kuna vitu vingi sana vya kujiuliza.
1nini kinachobust performance ya Simba uwanja wa Mkapa je ni uwepo wa mashabik? Game plan? Au ni nini hasa?
 
Hivi kwanini kila timu za nchi nyingine inapokuja Dar es salaam kucheza na Simba zinashindwa hata kutuliza mipira, wanakuwa wazito uwanjani kama vile wamebebeshwa mawe miguuni?
Tumeona jinsi Al Ahly walivyofanyiwa mpaka tukahisi hiii Simba itaenda kumtandika msudan goli saba huko Sudan ila wakarudi kwenye usimba wao huko Sudan. Kaizer chief wamewawahi kwa mpiira mikakati kama wafanyavyo Simba
Labda wanapatwa na kiwewe baada ya kusikia zile press za Manara, wakisikia do or die , war in dar wanachanganyikiwa kabisa🤣🙉
 
Simba hawanalolote zaidi ya mapaka, Nazi , na kuchimba chimba uwanja kufukia Makafara. Kwa Mambo Kama Ayo mpira wa Simba utaendelea kuwa Kama futuhi. Mpira ni Sayansi na si ulozi.
 
Kuna vitu vingi sana vya kujiuliza.
1nini kinachobust performance ya Simba uwanja wa Mkapa je ni uwepo wa mashabik? Game plan? Au ni nini hasa?
Maswali yako anajiuliza shabiki wa rede. Kwa mashabiki wa soka inajulikana kabisa kuwa timu ikiwa nyumbani inakuwa na morali ya juu na ndio maana kuna sheria ya faida ya away goal(mechi za mtoano). Kwa hiyo timu ikiwa nyumbani halafu ikiwa na ubora wa timu unaoshabihiana au kuwazidi timu pinzani basi ni rahisi kupata matokeo.

Ndio maana pamoja na morali waliokuwa nayo utopolo walipokutana na pyramid pale Kirumba mbele ya mashabiki lukuki lakini walipigwa 2-0 kutokana na kiwango kusaliti hata kama morali ilikuwepo.
 
Simba hawanalolote zaidi ya mapaka, Nazi , na kuchimba chimba uwanja kufukia Makafara. Kwa Mambo Kama Ayo mpira wa Simba utaendelea kuwa Kama futuhi. Mpira ni Sayansi na si ulozi.
Utopolo kuna kitu mnavuta halafu mkitoka hapo mnaenda kushindilia mihogo.
 
Wanautopolo ni hivi Namungo mechi zake zote za group stage(home) kachezea Dar (Mkapa stadium) na zote kafungwa .Simba akishinda hapo kwa Mkapa mnasema ni joto au dawa.Kweli luc akukosea nyinyi ni zaidi ya utopolo.
Hahahaha!! Wanakataa ubora wa simba.
 
Simba hawanalolote zaidi ya mapaka, Nazi , na kuchimba chimba uwanja kufukia Makafara. Kwa Mambo Kama Ayo mpira wa Simba utaendelea kuwa Kama futuhi. Mpira ni Sayansi na si ulozi.
Sayansi ya Vidole
FB_IMG_16241165858931587.jpg
 
Hivi kwanini kila timu za nchi nyingine inapokuja Dar es salaam kucheza na Simba zinashindwa hata kutuliza mipira, wanakuwa wazito uwanjani kama vile wamebebeshwa mawe miguuni?
Tumeona jinsi Al Ahly walivyofanyiwa mpaka tukahisi hiii Simba itaenda kumtandika msudan goli saba huko Sudan ila wakarudi kwenye usimba wao huko Sudan. Kaizer chief wamewawahi kwa mpiira mikakati kama wafanyavyo Simba
Hiyo Hali ya hewa ya Dar imebadilika miaka ya karibuni!! Na inabadilika kipindi Simba inacheza tu.

Msimu ujao siyo mbali tuone na nyinyi mkitumia hali ya hewa kuingiza mabao kambani, kuwafunga Al ahly.
 
Muhuni kaizer chiefs.

Anaongoza 1-0 ugenini morocco.. thanks to Var technology... kuanzia semi final caf wanaeka var kumbe

Huyu muhuni baada ya kumuotea simba leo anaendeleza bahati yake ugenini

Mpira una maajabu sana.. Kaizer hana mpira wowote muda wote kapaki basi..sema tu bahati imewabeba.

Na jambo jingine, wamshukuru sana kipa.. kwangu mimi ndie man of the team.


Screenshot_20210619-235659_FotMob.jpg
 
Kaizer kwa simba mbona walikuwa mlenda sana.. ama sababu ni jua la dar? Ama sababu walipuliziwa dawa chumbani?
Kwan kaizer chief alitolewa kwenye kwenye mashindano?

Ukisikia mipango ndio hyo wanajua kuzicheza mechi zao
 
Back
Top Bottom