Varangati lazuka Club Maisha baada ya Harmorappa kurushiwa chupa wakati aki perform

Jamaa itakuwa katumwa na Diamond Platnumz tu. Si ndio msanii mkubwa au?
 
Dah washampa msitari wa wimbo mpya akijumlisha na bastola na pole kwa Ney verse imekamilika
 
Planned,executed and Results are Marvelous
 
Kama ilivyotokea kwa Kiba kule Mombasa ndio imetokea kwa Harmorapa. Sasa meneja wa Diamond alikuwa anafanya nini nyuma ya Steji?
 
Endelea kuwasomesha namba wasanii wa b.fleva hamorapenga[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Nikiunganisha na siku yule jamaa alivyotoa bastola,namshauri harmorapa na management yake wawe waangalifu sana.
 
Baada kuikimbia bastola sasa kaikimbia na chupaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Watanzania ni watu wa wivu sana hasa kwenye mafanikio ya wenzao wako tayali kuchanjwa chale za mikundu ili kumdhoofisha mtu
 
Hizo zote kiki za kutaka kusafisha nyota za nduki bastola kwa mheshimiwa nape,,[emoji23] hapo hakuna jipya huyo boya 2
 
Bora hata mashabiki wa kiba wanarushaga chupa za maji kwa mondi sio kurusha chupa za beer ase..sio sawa
 
Bora hata mashabiki wa kiba wanarushaga chupa za maji kwa mondi sio kurusha chupa za beer ase..sio sawa
Kurushiwa chupa, ipo sana hasa unapotumia mziku stejini wa aina ya Hamorapa ya kukashifu watu mara sijui anti sijui nn....ndio maana waimbaji makini wanatumia lugha kuficha ukali. Mashabiki wakishalewa wanaweza kufanya chochote awe makini, nadhani ni ..warning hiyo... Abadili gia angani hamna namna..
 
Upuuzi...eti katumwa...huyu meneja naye n tatizo..MTU alotupa chupa amekula maji kalewa mbaya....KIKI NYINGINE ZIMEXIDI
 
Sio wa kwanza kufanyiwa hivyo, unaenda kupafomu watu wako pombe ile mbaya matatizo kama hayo hayakwepeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…