Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
- Thread starter
- #21
wala sio noma,inategemea tu na umri na idadi ya watoto.Actually katika ndoa kama mnaridhia ni bora mwanaume afanye vasectomy kuliko mama kutumia njia nyingine kama kufunga tube ambazo wengine huwa wana react,vasectomy ni very safe.Mhhh hiyo ngumu kabisa
Aongee na mkewe amwambie ukweli kuwa alishafanyiwa hiyo kitu na waangalie namna ya kupandikiza mbegu
Ili hata kama mke akipata mimba asije akatolewa mbio
Ila kufanya hiyo kitu aise ni noma