VAT YA 18% ni kubwa sana na imekaa muda mrefu. Ukiwauliza watu wa TRA wanasema hawawezi kushuhsha sababu ya walipaji ni wachache, na wachache hao wengine ni wadanganyifu.
Nafikiri serikali asilimia ya ikipungua unaongeza wigo wa watu kulipa VAT, sababu wanaona ni kiasi si kikubwa. Hii 18% ikipungua hata kama itafika 16% tutaongeza walipaji nna kufidia pengo la 2% lililopungua.
Natamani serkali iwe na malengo kuwa baada ya miaka kadhaa hii VAT itapungua kuwa kiasi fulani. Tusiwe waoga kuona kwamba hatutapata kile tulichopanga. Ni muda mwafaka wa kupunguza VAT ya 18%.
Nafikiri serikali asilimia ya ikipungua unaongeza wigo wa watu kulipa VAT, sababu wanaona ni kiasi si kikubwa. Hii 18% ikipungua hata kama itafika 16% tutaongeza walipaji nna kufidia pengo la 2% lililopungua.
Natamani serkali iwe na malengo kuwa baada ya miaka kadhaa hii VAT itapungua kuwa kiasi fulani. Tusiwe waoga kuona kwamba hatutapata kile tulichopanga. Ni muda mwafaka wa kupunguza VAT ya 18%.