Vatican inamiliki dunia

Umejaliwa uwezo wa kusoma ila ukanyimwa uwezo wa kuelewa unachosoma na kuandika!

Pole sana, hebu tulia usome kwa utulivu maana ya ulichoandika uone kama inawiana na hoja unayoimaanisha ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usisahau viapo vyenu wakati wa ubatizo hasa kiapo namba 8!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nguvu wanazo
 
hapa kwa obama wamem quote tuu au wameedit
 
n
yie tatio mnachukulia vitu juujuu
 
😛
 
😡
 
ww up upnde gani mbn ndumilakuwili,,,,double ajent🙄
 
ww up upnde gani mbn ndumilakuwili,,,,double ajent🙄

Niko upande wa ile njia nyembamba iendayo uzimani nikiipita hiyo chini ya maongozi ya Roho Mtakatifu msaidizi wa karibu na mfariji wa kweli. Ndio sababu kaniongoza kuwa Pope kusema maneno ya Biblia kuhusu joka kumuingiza mwamadamu kutenda dhambi ni upotovu na uongo alikuwa anamtetea bwana wake shetani. Kiti cha upapa wakati huu kimekaliwa na mfuasi wa luciferi.
 
Acha siasa papa papa na Ww unajiita papa ukimaanisha umemkalia Lucifer????
Te Te Te
 
Uturuki ni ulaya, Israel ni ulaya fafanua tukuelewe ulaya ya mataifa 7 ni ipi hiyo? Kanisa linaposimikwa kwenye misingi ya uongo hata wafuasi wake kusema ungo ni jambo la kawaida.
Upand wako ni Wap tukuchambue na ww
 
Ongelea nafsi yako Acha ongelea nafs za wat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…