Vatican inamiliki dunia

Vatican inamiliki dunia

Loyola
Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho
mwaka 1540. Nukuu muhimu tunayoweza
kuichukua kutoka kwa Ignatius wa Loyola ni hii:
“That we may be altogether of the same
mind and in conformity with the Church herself, if she shall have defined anything to be black which appears to our eyes to be white, we ought in like manner to pronounce it to be black. For we must undoubtingly believe, that the Spirit of our Lord Jesus Christ, and the Spirit of the Orthodox Church His
Spouse, by which Spirit we are governed and directed to Salvation, is the same.” [Ignatius Loyola, Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed.,
Documents of the Christian
Church,
2nd ed. (London: Oxford
University Press, 1963), p.
260.]



“Kwamba wote tuwe na nia moja na kukubaliana na kanisa, kama limetafsiri
kitu chochote kuwa ni cheusi wakati kinaonekana machoni mwetu kuwa ni
cheupe, tunapaswa kukitangaza kuwa ni
cheusi. Maana bila shaka tunapaswa kuamini,
kwamba roho wa bwana wetu Yesu kristo,
na roho wa kanisa la Orthodox ndugu yake,
roho ambaye anatuongoza katika
wokovu, ni yule yule.” [Ignatius Loyola,
Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed.,
Documents of the Christian
Church, 2nd ed. (London:
Oxford
University Press, 1963), p.
260.]



Kwa mujibu wa Ignatius
Loyola, kanisa Katoliki na
kanisa la Orthodox ni
ndugu
mmoja na wote
wanaongozwa na roho
mmoja. Lakini pia
tunaweza kujiuliza kwa
nini
Loyola atumie rangi
nyeusi hata kama ni
nyeupe? Jibu ni kwamba
alikuwa anaongelea
kiongozi mkuu wa chama
hicho cha Jesuits ambaye
anaitwa ‘black Pope’ yaani
Papa
mweusi. Lakini pia Loyola
aliweka kanuni 13 za
kuongoza chama cha
Jesuits. Katika
sura zitakazofuatia
tutaona jinsi Illuminati
wanavyoabudu namba
ikiwepo namba 13 na
kuna uhusiano mkuwa
sana kati ya Jesuits,
Illuminati na Freemasons,
wote wakiwa ni
watumishi wa mnyama
wa namba 666.
Ni utaratibu gani
unafanyika wakati mtu
anapotaka kuwa
mwanachama wa “Jesuit
Society?” Kama
tutakavyoona, utaratibu
wa kujiunga na chama cha
Jesuits unafanana na
utaratibu wa kujiunga na
freemason. Cha ajabu ni
kwamba baadhi ya
madhehebu na
makanisa yanafuata
utaratibu huo wakati
waumini, na hasa viongozi
kama watawa,
wachugaji, maaskofu nk
wanapopewa nafasi hizo
kwa mara ya kwanza japo
Biblia
inakataza wazi kutumia
utaratibu kama huo.
Wakati mtu anapotaka
kujiunga na chama cha
Jesuits anatakiwa, pamoja
na mambo
mengine, kutoa viapo vya
utii katika chama hicho,
kiongozi wa chama hicho
na kiongozi
wa kanisa. Kabla ya
kusoma viapo vya Jesuits,
hebu tuiulize Biblia
kuhusu viapo.
“Tena mmesikia watu wa
kale walivyoambiwa,
Usiape uongo, ila mtimizie
Bwana
nyapo zako; lakini mimi
nawaambia, Usiape
kabisa; hata kwa mbingu,
kwa maana
ndicho kiti cha enzi cha
Mungu; wala kwa nchi,
kwa maana ndiyo pa
kuweka miguu
yake…wala usiape kwa
kichwa chako, maana
huwezi kufanya unywele
mmoja kuwa
mweupe au
mweusi…..kwa kuwa
yazidiyo hayo yatoka kwa
yule mwovu.” Mathayo
5:33-37. “Lakini zaidi ya
yote, ndugu zangu,
msiape….msije
mkaangukia hukumu.”
Yakobo 5:12.
Biblia inakataza kuapa
kwa aina yoyote ile, hivyo
kama Jesuits wanaapa
wanafanya hivyo kwa sababu wako
kinyume na Biblia. Hata hivyo yapo madhehebu mengi yaliyo na utaratibu wa kuapisha viongozi wao ikiwa ni wachungaji, maaskofu, mapadri kila wanapowekwa wakfu kwa ajili ya kazi za kanisa husika. Chunguza ndani ya kanisa lako huenda likawa moja ya wahusika wa viapo.
. . .

SASA WEWE NGUMBALU UNAWEZA KUWA JESUIT WEWE?

MPAKA SASA UNASIFA MOJA TU YA KUTETEA MAFUNDISHO YA UONGO YA KANISA KUWA YAKWELI

Sent using Jamii Forums mobile app
Umejaliwa uwezo wa kusoma ila ukanyimwa uwezo wa kuelewa unachosoma na kuandika!

Pole sana, hebu tulia usome kwa utulivu maana ya ulichoandika uone kama inawiana na hoja unayoimaanisha ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Loyola
Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho
mwaka 1540. Nukuu muhimu tunayoweza
kuichukua kutoka kwa Ignatius wa Loyola ni hii:
“That we may be altogether of the same
mind and in conformity with the Church herself, if she shall have defined anything to be black which appears to our eyes to be white, we ought in like manner to pronounce it to be black. For we must undoubtingly believe, that the Spirit of our Lord Jesus Christ, and the Spirit of the Orthodox Church His
Spouse, by which Spirit we are governed and directed to Salvation, is the same.” [Ignatius Loyola, Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed.,
Documents of the Christian
Church,
2nd ed. (London: Oxford
University Press, 1963), p.
260.]



“Kwamba wote tuwe na nia moja na kukubaliana na kanisa, kama limetafsiri
kitu chochote kuwa ni cheusi wakati kinaonekana machoni mwetu kuwa ni
cheupe, tunapaswa kukitangaza kuwa ni
cheusi. Maana bila shaka tunapaswa kuamini,
kwamba roho wa bwana wetu Yesu kristo,
na roho wa kanisa la Orthodox ndugu yake,
roho ambaye anatuongoza katika
wokovu, ni yule yule.” [Ignatius Loyola,
Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed.,
Documents of the Christian
Church, 2nd ed. (London:
Oxford
University Press, 1963), p.
260.]



Kwa mujibu wa Ignatius
Loyola, kanisa Katoliki na
kanisa la Orthodox ni
ndugu
mmoja na wote
wanaongozwa na roho
mmoja. Lakini pia
tunaweza kujiuliza kwa
nini
Loyola atumie rangi
nyeusi hata kama ni
nyeupe? Jibu ni kwamba
alikuwa anaongelea
kiongozi mkuu wa chama
hicho cha Jesuits ambaye
anaitwa ‘black Pope’ yaani
Papa
mweusi. Lakini pia Loyola
aliweka kanuni 13 za
kuongoza chama cha
Jesuits. Katika
sura zitakazofuatia
tutaona jinsi Illuminati
wanavyoabudu namba
ikiwepo namba 13 na
kuna uhusiano mkuwa
sana kati ya Jesuits,
Illuminati na Freemasons,
wote wakiwa ni
watumishi wa mnyama
wa namba 666.
Ni utaratibu gani
unafanyika wakati mtu
anapotaka kuwa
mwanachama wa “Jesuit
Society?” Kama
tutakavyoona, utaratibu
wa kujiunga na chama cha
Jesuits unafanana na
utaratibu wa kujiunga na
freemason. Cha ajabu ni
kwamba baadhi ya
madhehebu na
makanisa yanafuata
utaratibu huo wakati
waumini, na hasa viongozi
kama watawa,
wachugaji, maaskofu nk
wanapopewa nafasi hizo
kwa mara ya kwanza japo
Biblia
inakataza wazi kutumia
utaratibu kama huo.
Wakati mtu anapotaka
kujiunga na chama cha
Jesuits anatakiwa, pamoja
na mambo
mengine, kutoa viapo vya
utii katika chama hicho,
kiongozi wa chama hicho
na kiongozi
wa kanisa. Kabla ya
kusoma viapo vya Jesuits,
hebu tuiulize Biblia
kuhusu viapo.
“Tena mmesikia watu wa
kale walivyoambiwa,
Usiape uongo, ila mtimizie
Bwana
nyapo zako; lakini mimi
nawaambia, Usiape
kabisa; hata kwa mbingu,
kwa maana
ndicho kiti cha enzi cha
Mungu; wala kwa nchi,
kwa maana ndiyo pa
kuweka miguu
yake…wala usiape kwa
kichwa chako, maana
huwezi kufanya unywele
mmoja kuwa
mweupe au
mweusi…..kwa kuwa
yazidiyo hayo yatoka kwa
yule mwovu.” Mathayo
5:33-37. “Lakini zaidi ya
yote, ndugu zangu,
msiape….msije
mkaangukia hukumu.”
Yakobo 5:12.
Biblia inakataza kuapa
kwa aina yoyote ile, hivyo
kama Jesuits wanaapa
wanafanya hivyo kwa sababu wako
kinyume na Biblia. Hata hivyo yapo madhehebu mengi yaliyo na utaratibu wa kuapisha viongozi wao ikiwa ni wachungaji, maaskofu, mapadri kila wanapowekwa wakfu kwa ajili ya kazi za kanisa husika. Chunguza ndani ya kanisa lako huenda likawa moja ya wahusika wa viapo.
. . .

SASA WEWE NGUMBALU UNAWEZA KUWA JESUIT WEWE?

MPAKA SASA UNASIFA MOJA TU YA KUTETEA MAFUNDISHO YA UONGO YA KANISA KUWA YAKWELI

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau viapo vyenu wakati wa ubatizo hasa kiapo namba 8!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mkiambiwa ukweli mnakuwa wakali

KUNA MTU ASIYEJUA VATCAN INAONGOZWA NA JOKA KUUA NA KUPOTEZA DUNIA KWA UPAGANI?

"Na ndani yake ilionekana damu ya watakatifu, na ya wale wote waliouawa juu ya nchi". Ufu 18:24.
Rejea pia usome Danieli 7:25 kisha Est 3:8-10 kisha_fuatana_nami
Ni nani huyo muuaji?
(Sikia alichopata kuchosema Baron Deponnat kiongozi mashuhuri wa Ufaransa)
Anasema :-
"Roman katoliki lilizaliwa katika damu likawekewa_ukuta wa damu lilituliza_kiu_yake kwa damu na ni kwa herufi za damu historia yake imeandikwa. Utendaji wao unakwenda bila kuacha mapigo ya mirindimo_ya_viapo vya damu!"

Sasa_hapa_utasema_limejengewaje_kwa_damu?
Mamlaka ya Papa imekuwa ikitekeleza mateso dhidi ya wale wanaopinga madai yake, kama haki iliyopewa na Mungu.
Papa Martin V(1417-1431 B.K) alitoa maelekezo yafuatayo kwa mfalme wa Poland kuhusiana na Wakristo wa kweli waliokuwa wafuasi wa John Huss.

Hakikisha_unawaangamiza_wafuasi_wote_wa_Huss. Kumbuka kuwa watu wenye kukufuru wanathubutu kanuni za uhuru; wanadai

Wakristo_wote_ni_ndugu....wanadai kwamba Kristo alikuja duniani kukomesha utumwa; wanawaita watu wawe huru...

Choma_ua_kwa_wingi,fanya mahali pawe jangwa,kwani hakuna jambo linalokubalika zaidi kwa Mungu/linalofaa zaidi lenye manufaa zaidi ktk wajibu wa wafalme,kama vile kuwaangamiza wafuasi wa Huss."(L.M.de Cormentin, The Public and Private History of Popes of Rome, Vol. III, uk.116-117.

JE_WAMEISHIA_HAPO_TU

"Mapapa pamoja na mawakala wa Kijesuiti, hadi sasa wamekuwa ndiyo wainjiniaji_wa_vita, na wakati ulimwengu ukiugulia maumivu ya kweli,
Roma_hushikilia_shampeni."
Maneno taliyotamkwa na Jeremia J. Crowley (Padri wa zamani wa Kikatoliki).
Romanism: A Manace to the Nation, Menace Publishing uk 144.
Haitoshi
Naye Edmond Paris ameandika hivi:-
"Mtu aweza kusema kwa uhakika kwamba mnamo mwaka 1914 kanisa la Roma lilianzisha_mfumo_wa_vita_vibaya.ilikuwa kwamba, utambulisho wa damu ambayo wakati wote amechukua kwa wanadamu ikaanza kuumuka na kuwa tufani ya kutisha." The Vatican Against Europe, The Wickliffe Press uk 48.

Hivyo_ndivyo_Roma_imetenda_inaenendelea_na_itaendelea kakini atavuna_tu_alichopanda Ufu 9

Sent using Jamii Forums mobile app
nguvu wanazo
 
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa

“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii:

“Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.” Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18.
ae7a1c4de023bbda2da0a25e30e725f6.jpg

Tyndale aliuliwa na utawala wa kipapa kwa kutafsiri biblia...



Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao],
da95cf61b762f5a8bb3ffa13c0e24c5f.jpg

b601c77df03518a6574d5fdbdf97b1ea.jpg


mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,” kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo.

Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.

014c67cfdb1f454cb6ffad5c5931e2e5.jpg

2d74043e7497ad8b2d6a027cbaa597c5.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
hapa kwa obama wamem quote tuu au wameedit
 
n
Ufunuo 17:8 “Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nikastaajabu ajabu kuu”

Mwanamke katika unabii inawakilisha “kanisa”, Ufunuo 21:2 inasema, “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.” Na Ufunuo 21:9 inasema, “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”

Hivyo Yohana aliona kanisa ambalo limelewa damu ya watakatifu, na je kanisa hilo ni kanisa gani? Katika fungu la 1 Yohana aliambiwa na malaika kwamba “njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu.” Kahaba huyo, katika fungu la 5 ametajwa kama “mwanamke aliyeketi juu ya mnyama“, -mnyama- katika unabi inawakilisha “ufalme” au “taifa”;

5dbdb37c07cb766da7a5397b9f6ae5da.jpg



angalia Danieli 7:17

“Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani” na Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”

Hivyo “mwanamke huyu aliyeketi juu ya mnyama” ni kanisa ambalo lina uwezo wa kidini na kisiasa kwa wakati mmoja (kanisa na serikali). Na Je ni kanisa gani hapa duniani lenye uwezo wa kidini na kisiasa? Ni kanisa la Romani Katoliki pekee! Ambapo kanisa katoliki ni “mwanamke” na Roma ni “mnyama”. Mpaka hapa hakuna haja ya ushahidi zaidi, lakini kwa sababu watu wana mioyo migumu kuamini ngoja tuongeze ushahidi zaidi usioweza kukatalika.
a8fe66046ab6d6f3624700a3b4ec3c46.jpg


Ufunuo 17:3 inasema, “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”

Mnyama huyu anayelichukua kanisa katoliki ana “vichwa 7” na “pembe 10”; hapa vichwa saba vinawakilisha milima saba, Ufunuo 17:9 inasema, “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”
d314dc57a45466bb2c36ec76cd9b6c68.jpg


Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?
*
Kanisa Katoliki linasema…
“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.
6e12cab82d08cdde8fdd6d81362767f3.jpg


“Je vilima saba vya Roma ni nini?
Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com

ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma
“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s/seven-hills-of-rome/

Hivyo mnyama mwenye vichwa 7 ambavyo ni milima 7 ni ufalme wa Roma, na mwanamke aliyeketi juu ya mnyama huyo au juu ya ile milima 7 ni Kanisa Katoliki. Mpaka hapa hakuna haja ya ushahidi zaidi, lakini ngoja tuongeze ushahidi mwingine labda ndungu watapata kuamini kwa huo.

Ufunuo 17:5 inasema, yule “mwanamke amekaa juu ya mnyama…mwenye pembe kumi“. Pembe katika unabii inawakilisha “mfalme/ufalme” au “taifa”, Danieli akitabiri kuhusu mnyama Roma alisema, “Na habari za zile pembe kumi [za mnyama], katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataoondoka baada ya hao;…naye atawashusha wafalme watatu” Danieli 7:24.

Hivyo pembe kumi ni wafalme kumi ambao wanatawala katika ufalme huo mmoja wa Roma. Baada ya dola la Roma kuanguka mwaka 476BK liligawanyika katika mataifa/wafalme kumi ambayo ni…

1.Saxon,
kwa sasa ni taifa la Uingereza.
2.Frank,
kwa sasa ni taifa la Ufaransa.
3.Alamanni,
kwa sasa ni taifa la Ujerumani.
4.Visigoth, kwa sasa ni taifa la Uhispania.
5.Suevi, kwa sasa ni taifa la Ureno.
6.Lombard,
kwa sasa ni taifa la Italia.
7.Burgundia,
kwa sasa ni taifa la Uswidi.8Heruli,
liling’olewa na pembe ndogo 493 B.K.
9Vandal, liling’olewa na pembe ndogo 534 B.K.
10.Ostrogoth,
liling’olewa na pembe ndogo 538 B.K.

Hizo ndio pembe kumi za mnyama Roma, Unabii katika Danieli 7:8 na 24 unasema kuwa, baada ya pembe hizo kumi ambazo ni wafalme kumi wa dola la Roma, kati yao ingetokea pembe nyingine ndogo ambayo ni mfalme mwingine, ambaye ni Uapa wa Vatikani; nao ungelikuwa tofauti na wale wafalme 10 kwa sababu una nguvu za kidini na kiserikali tofauti na wale 10. Pia pembe ndogo ambaye ni Upapa angezing’oa pembe 3 katika zile pembe 10 za mnyama Roma.

Baada ya kanisa katoliki kupitisha fundisho la utatu katika baraza la 2 huko Konstantinapoli mwaka 381bk, baraza liliamuru kwamba wote wasiokubaliana na imani ya utatu waangamizwe; hivyo mataifa ya Waario (Arians); watu ambao hawakuamini fundisho la utatu, mataifa yao matatu; Heluli, Vandalis, na Ostrogoth yaliangushwa na kanisa Katoliki. Hivyo Upapa ulizing’oa kabisa pembe hizo 3 kama Danieli alivyotabiri, na mataifa 7 yaliyobaki leo yanaitwa Umoja wa Ulaya [EU].

Hivyo yule mnyama mwenye pembe kumi na vichwa saba ambavyo ni milima 7 ni ufalme wa Roma, na yule mwanamke aliyeketi juu yake ni Kanisa Katoliki. Na hivyo yule mwanamke wa Ufunuo 17:6 “amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu…” ni kanisa Katoliki lenyewe. Je historia inathibitisha kuwa kanisa Katoliki liliwahi kumwaga damu ya watakatifu na mashahidi wa Yesu?
d654fd2bd441c93b46c86e4352d3356c.jpg


“Kwa sababu ya kufundisha imani kinyume na mafundisho ya Roma, historia inaonyesha vifo vya wafia dini zaidi ya milioni 100” –Brief Bible Readings, p 16.

Kanisa Katoliki linasema…
“Katoliki ana baadhi ya sababu kwa upande wake wakati anapotoa adhabu kwa waasi wa kidini, kwa maana anajidaia jina la Ukristo kwake mwenyewe kwa kuzuia, na anajidai kufundisha kwamba uwepo wa Roho wa Mungu kamwe hautaondoka kwake…Siyo kosa zaidi kumuua mtu kwa sababu ya uasi wa kidini, kuliko kwa sababu ya uuaji,…[na] katika mambo mengi mateso kwa maoni ya kidini siyo tu kwamba yanaruhusiwa, lakini ni ya busara na ya lazima.” –The Lawfulnees of Persecution” in the Rambler, 4, June, 1849, pp 119, 126. (“The Rambler” lilikuwa ni gazeti la kila siku la Romani Katoliki lililochapishwa kuanzia mwaka 1848 hadi 1862).
bf9d9aac84ca8d8d428b624ff98ae464.jpg


“Chini ya mawazo na desturi za kijerumani, mateso yalitumiwa kidogo kuanzia karne ya 9 hadi karne ya 12, lakini kwa uhuikaji wa sheria ya Romani mateso yalianzishwa tena katika karne ya 12…Katika mwaka 1252 (Papa) Innocent IV aliruhusu adhabu ya mateso juu ya waasi wa kidini kwa kutumia mamlaka ya kiserikali, na mateso yakaja kuwa na mahali palipojulikana katika utaribu wa mahakama ya kiuchunguzi.” –New Catholic Encyclopedia, arts. “Inquisition”, “Auto-da-Fe’,” na “Massacre of St Bartholomew’s Day.”
5fc891cdb2e0a4cd5079066254f26d3c.jpg


BWANA AWAITA WOTE WALIOPO KWA HUYU MNYAMA WATOKE HARAKA SANA


YHWH IS GOOD


Sent using Jamii Forums mobile app
yie tatio mnachukulia vitu juujuu
 
Loyola
Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho
mwaka 1540. Nukuu muhimu tunayoweza
kuichukua kutoka kwa Ignatius wa Loyola ni hii:
“That we may be altogether of the same
mind and in conformity with the Church herself, if she shall have defined anything to be black which appears to our eyes to be white, we ought in like manner to pronounce it to be black. For we must undoubtingly believe, that the Spirit of our Lord Jesus Christ, and the Spirit of the Orthodox Church His
Spouse, by which Spirit we are governed and directed to Salvation, is the same.” [Ignatius Loyola, Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed.,
Documents of the Christian
Church,
2nd ed. (London: Oxford
University Press, 1963), p.
260.]



“Kwamba wote tuwe na nia moja na kukubaliana na kanisa, kama limetafsiri
kitu chochote kuwa ni cheusi wakati kinaonekana machoni mwetu kuwa ni
cheupe, tunapaswa kukitangaza kuwa ni
cheusi. Maana bila shaka tunapaswa kuamini,
kwamba roho wa bwana wetu Yesu kristo,
na roho wa kanisa la Orthodox ndugu yake,
roho ambaye anatuongoza katika
wokovu, ni yule yule.” [Ignatius Loyola,
Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed.,
Documents of the Christian
Church, 2nd ed. (London:
Oxford
University Press, 1963), p.
260.]



Kwa mujibu wa Ignatius
Loyola, kanisa Katoliki na
kanisa la Orthodox ni
ndugu
mmoja na wote
wanaongozwa na roho
mmoja. Lakini pia
tunaweza kujiuliza kwa
nini
Loyola atumie rangi
nyeusi hata kama ni
nyeupe? Jibu ni kwamba
alikuwa anaongelea
kiongozi mkuu wa chama
hicho cha Jesuits ambaye
anaitwa ‘black Pope’ yaani
Papa
mweusi. Lakini pia Loyola
aliweka kanuni 13 za
kuongoza chama cha
Jesuits. Katika
sura zitakazofuatia
tutaona jinsi Illuminati
wanavyoabudu namba
ikiwepo namba 13 na
kuna uhusiano mkuwa
sana kati ya Jesuits,
Illuminati na Freemasons,
wote wakiwa ni
watumishi wa mnyama
wa namba 666.
Ni utaratibu gani
unafanyika wakati mtu
anapotaka kuwa
mwanachama wa “Jesuit
Society?” Kama
tutakavyoona, utaratibu
wa kujiunga na chama cha
Jesuits unafanana na
utaratibu wa kujiunga na
freemason. Cha ajabu ni
kwamba baadhi ya
madhehebu na
makanisa yanafuata
utaratibu huo wakati
waumini, na hasa viongozi
kama watawa,
wachugaji, maaskofu nk
wanapopewa nafasi hizo
kwa mara ya kwanza japo
Biblia
inakataza wazi kutumia
utaratibu kama huo.
Wakati mtu anapotaka
kujiunga na chama cha
Jesuits anatakiwa, pamoja
na mambo
mengine, kutoa viapo vya
utii katika chama hicho,
kiongozi wa chama hicho
na kiongozi
wa kanisa. Kabla ya
kusoma viapo vya Jesuits,
hebu tuiulize Biblia
kuhusu viapo.
“Tena mmesikia watu wa
kale walivyoambiwa,
Usiape uongo, ila mtimizie
Bwana
nyapo zako; lakini mimi
nawaambia, Usiape
kabisa; hata kwa mbingu,
kwa maana
ndicho kiti cha enzi cha
Mungu; wala kwa nchi,
kwa maana ndiyo pa
kuweka miguu
yake…wala usiape kwa
kichwa chako, maana
huwezi kufanya unywele
mmoja kuwa
mweupe au
mweusi…..kwa kuwa
yazidiyo hayo yatoka kwa
yule mwovu.” Mathayo
5:33-37. “Lakini zaidi ya
yote, ndugu zangu,😛
msiape….msije
mkaangukia hukumu.”
Yakobo 5:12.
Biblia inakataza kuapa
kwa aina yoyote ile, hivyo
kama Jesuits wanaapa
wanafanya hivyo kwa sababu wako
kinyume na Biblia. Hata hivyo yapo madhehebu mengi yaliyo na utaratibu wa kuapisha viongozi wao ikiwa ni wachungaji, maaskofu, mapadri kila wanapowekwa wakfu kwa ajili ya kazi za kanisa husika. Chunguza ndani ya kanisa lako huenda likawa moja ya wahusika wa viapo.
. . .

SASA WEWE NGUMBALU UNAWEZA KUWA JESUIT WEWE?

MPAKA SASA UNASIFA MOJA TU YA KUTETEA MAFUNDISHO YA UONGO YA KANISA KUWA YAKWELI

Sent using Jamii Forums mobile app
😛
 
Sasa kusomea huko ndio kuujua?

Au hujui vyama vya siri kama...freemason,illuminat, jeauit, knight of templar,skull of bones ,n.k

Vibatumia exoteric na esoteric meaning?

Maana iliyowaz na iliyojificha?

Jesuit kwa nje wanajionesha wanasaidia sana jamii,ila nyuma ya pazia ni wabaya


Sasa wewe yawezekana unasomeshwa ila unawekwa kund la MAANA ILIYOWAZI

MAANA WEWE HATA VIAPO VYA JESUIT HUWEZ KUVIAPA

ni viapo vya kishetani ,

Nimeviweka hapo juu ukitaka nitakuwekea tena

Kwa mtu anayekuwa jesuit kweli kweli lazima aape hivo viapo



Sent using Jamii Forums mobile app
😡
 
Pope huyu atakuwa mfuasi wa joka na alipoona joka bwana wake katajwa katika kumdaganya Hawa hapo Mwanzo wa Biblia ndio anataka kumtetea kiana.

Mfikishieni ujumbe kuwa sisi tunaongozwa na Roho Mtakatifu katika masuala yote ya kiroho ndiye Yesu alituachia atusaidie na kutuongoza, na kutufariji. Hakutuachia wanafunzi wake alioongozana, kukaa nao na kuwafundisha kwa miaka mitatu. Hata Pope mfuasi wa shetani akija na kauli kama hizi tunampuuza maana Roho Mtakatifu kesha tuonesha anamtetea bwana wake shetani lile joka la Eden chanzo cha anguko la dhambi kwa Mwanadamu.

Ataendelea atasema Biblia yote ni hadithi za uongo na kutunga katafuta pa kuanzia tu,lakini mwambieni keshashindwa, kitu hiki kama kaongea 2016 leo ndio na soma, hii inamaanisha hakikuwa na nguvu yeyote na watu wanaendelea kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.

Mawakala wa shetani wenzake na Pope Francisis hapa jF wanaendeleza kuhubiri ushetani bali wako hoi bin taabani kwa kutwanga maji kwenye kinu.
ww up upnde gani mbn ndumilakuwili,,,,double ajent🙄
 
ww up upnde gani mbn ndumilakuwili,,,,double ajent🙄

Niko upande wa ile njia nyembamba iendayo uzimani nikiipita hiyo chini ya maongozi ya Roho Mtakatifu msaidizi wa karibu na mfariji wa kweli. Ndio sababu kaniongoza kuwa Pope kusema maneno ya Biblia kuhusu joka kumuingiza mwamadamu kutenda dhambi ni upotovu na uongo alikuwa anamtetea bwana wake shetani. Kiti cha upapa wakati huu kimekaliwa na mfuasi wa luciferi.
 
Niko upande wa ile njia nyembamba iendayo uzimani nikiipita hiyo chini ya maongozi ya Roho Mtakatifu msaidizi wa karibu na mfariji wa kweli. Ndio sababu kaniongoza kuwa Pope kusema maneno ya Biblia kuhusu joka kumuingiza mwamadamu kutenda dhambi ni upotovu na uongo alikuwa anamtetea bwana wake shetani. Kiti cha upapa wakati huu kimekaliwa na mfuasi wa luciferi.
Acha siasa papa papa na Ww unajiita papa ukimaanisha umemkalia Lucifer????
Te Te Te
 
Pope huyu atakuwa mfuasi wa joka na alipoona joka bwana wake katajwa katika kumdaganya Hawa hapo Mwanzo wa Biblia ndio anataka kumtetea kiana.

Mfikishieni ujumbe kuwa sisi tunaongozwa na Roho Mtakatifu katika masuala yote ya kiroho ndiye Yesu alituachia atusaidie na kutuongoza, na kutufariji. Hakutuachia wanafunzi wake alioongozana, kukaa nao na kuwafundisha kwa miaka mitatu. Hata Pope mfuasi wa shetani akija na kauli kama hizi tunampuuza maana Roho Mtakatifu kesha tuonesha anamtetea bwana wake shetani lile joka la Eden chanzo cha anguko la dhambi kwa Mwanadamu.

Ataendelea atasema Biblia yote ni hadithi za uongo na kutunga katafuta pa kuanzia tu,lakini mwambieni keshashindwa, kitu hiki kama kaongea 2016 leo ndio na soma, hii inamaanisha hakikuwa na nguvu yeyote na watu wanaendelea kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.

Mawakala wa shetani wenzake na Pope Francisis hapa jF wanaendeleza kuhubiri ushetani bali wako hoi bin taabani kwa kutwanga maji kwenye kinu.
Ongelea nafsi yako Acha ongelea nafs za wat
 
Back
Top Bottom